• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

WORLD VISION YATOA VIFAA KUJIKINGA NA CORONA MUHEZA

Posted on: May 22nd, 2020

Shirika la World Vision Tanzania limetoa msaada wa Examination gloves,Face Mask Surgical na vitakasa Mikono kwa Halmashauri ya Wilaya Muheza kuunga mkono Serikali katika jitihada zake za kupambana na Ugonjwa wa homa ya Mapafu unaosababishwa na virusi vya Corona.

Hafla ya kukabidhi vifaa hivyo  ilifanyika mnamo siku ya Ijumaa tarehe 15/5/2020 katika Ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri na kuhudhuriwa na viongozi mbali mbali wa  Serikali wakiwemo wakuu wa Idara na Vitengo.

Akisoma taarifa ya Makabidhiano Mshauri wa Masuala Afya na Lishe Taasisi ya World Vision kanda ya Mashariki ANDREAS MTITA amesema Shirika linakabidhi vifaa kadhaa vyenye thamani ya Shilingi 14,655,000/= vitakavyosaidia kujikinga na maambukizi hayo ambapo vifaa vya shilingi 9,755,000/=vinakabidhiwa siku hiyo ikiwa vifaa vyenye thamani ya shilingi 4,900,000/= vitakabidhiwa baada ya wiki mbili.

Aliendelea kuwa vifaa vilivyokabidhiwa siku hiyo ni Chroline tab 30 , barakoa 3000. Sanitizers 15 , Sabuni ya maji  lita 15, Spirit lita 15, na Examination gloves box 10 na  vifaa vinavyotarajiwa kukabidhiwa ni infrared thermometer 5, Face Mask N95 200 na examination gloves 100.

Akipokea vifaa hivyo Mkuu wa Wilaya Muheza Mhe Mhandisi MwanashaRajab Tumbo ameshukuru taasisi hiyo kwa upendo waliouoneshsa katika wilaya Muheza na kutoa wito kwa  Wadau wengine waweze kujitoa kama WORD VISION walivyojioa ili kupambana na janga hili la Corona.

Aliongeza kuwa kwa kuwa siku ya tarehe 15/5/ ni siku ya siku ya familia amewataka wajumbe wote waliohudhuria katika hafla hiyo kuchukua nafasikwenda kuzungumza na familia namna ya kukabiliana na tatizo la Corona kwa kufanya akiwa na imani kuwa ndio mbinu pekee itakopelekea kutoenea kwa urahisi kwa ugonjwa huu.

“sisi tuliopo hapa ni mabalozi tukatoe elimu majumbani mwetu, katika familia zetu , tukatoe elimu kwa wenzetu ili kusaidia kutokomeza janga hili” alisema Mhe Mkuu wa Wilaya.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Muheza Nassib Mbagga ameipongeza Taasisi ya WORLD VISION kwa jitihada walizozionyesha kwani amekuwa akiumiza kichwa kila siku namna ya kupata vifaa japo vichache  tu ili kuweza kupambana na ugonjwa huu.

Pia alimshukuru mkuu wa Wilaya hiyo Mhe, Mhandisi Mwanasha Rajab Tumbo kwa kuwa Mstari wa mbele kwani amekuwa akimpa ushirikiano mzuri na wa karibu zaidi wakati anapokuwa akihitaji msaada toka kwake.




VIONGOZI WA MUHEZA WAKISUBIRI KUKABIDHIWA VIFAA VIFAA VILIVYOKABIDHIWA MUHEZA NA SHIRIKA LA WORLD VISION. MKUU WA WILAYA AKIKABIDHI BANGO LA HATUA ZA UNAWAJI ILI KUJIKINGA NA UGONJWA WA CORONA
MKURUGENZI MTENDAJI WA HALMASHAURI YA WILAYA MUHEZA NASSIB MMBAGGA  (MWENYE SUTI YA KIJIVU) NA MKUU WA WA WILAYA MUHEZA MHE, MWANASHA RAJAB TUMBO MWENYE HIJJAB NYEUSI WAKISUBIRI KUPOKEA MSAADA WA VITAKASA MIKONO KUTOKA KWA TAASISI YA WORLD VISON
MGANGA MKUU WILAYA MUHEZA DKT FLORA KESSY (ALIESIMAMA) AKIZUNGUMZA KABLA YA MAKABIDHIANO YA VIFAA HIVYO YALIYOFANYIKA KATIKA UKUMBI WA MIKUTANO HALMASHAURI MKURUGENZI MTENDAJI WILAYA MUHEZA (WA KWANZA KUSHOTO) AKISHUHUDIA MAKABIDHIANO YA BANGO LA HATUA ZA UNAWAJI MIKONO ZA KUJIKINGA NA CORONA KATI YA MKUU WA WILAYA MUHEZA (MWENYE HIJJABU NYEUSI) NA WAFANYAKAZI WA TAASISI YA WORLD VISION  KATIKA UKUMBI WA MIKUTANO WA HALMASHAURI..

Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.