• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

Miradi iliyokamilika

1. Miradi katika Sekta ya Maji

  • Mradi wa Maji Ubembe:

Thamani ya mradi huu ni Tsh.166, 796,410. Mradi huu umekamilika kwa asilimia 100 na unaendelea kutoa huduma ya maji kwa wananchi wa kijiji cha Ubembe. Mradi una vituo kumi vya kuchotea maji.

  • Kijiji cha Kisiwani  Nkumba:

Thamani ya mradi huu ni Tsh. 156, 349,707. Mradi huu umekamilika kwa asilimia 100 na unaendelea kutoa huduma ya maji kwa wananchi wa kijiji cha Kisiwani Nkumba. Mradi una vituo nane vya kuchotea maji

  • .Kijiji cha Kibanda Nkumba:

Mradi huu  umekamilika kwa asilimia 100. Gharama ya mradi huu ni Tsh. 291, 500,000/=. Mradi una Tanki la kuhifadhia maji la juu ya ardhí lenye ujazo lita 45,000 na vituo vya  kuchotea maji kumi na nne.

  • Kijiji cha Kwemhosi :

Thamani ya mradi huu ni Tsh. 224, 996,000/=Mradi huu una vituo vya kuchotea kumi, mfumo wa kuvuna maji ya mvua uliojengwa katika majengo ya shule na mfumo huo unahusisha wáter jar la ujazo wa Lita 1,000, fero cement ujazo wa lita 5,000, Tanki la plastiki lita 3,000 na una tanki la kuhifadhia maji juu ya ardhi la ukubwa wa lita 45,000.

  • Kijiji cha Misongeni

Thamani ya mradi huu ni Tsh. 208, 720,600/= Mradi una vituo vya kuchotea kumi, mfumo wa kuvuna maji ya mvua uliojengwa katika majengo ya shule ya msingi Misongeni ambapo kuna wáter jar yenye ujazo wa lita 1,000, ferocement yenye ujazo wa lita 5,000, tank la plastic lenye ujazo wa lita 3,000 na tanki la kuhifadhia maji juu ya ardhi la ukubwa wa lita 45,000. Mradi huu umekamilika na unatoa huduma ya maji kwajamii.

  • Kijiji cha Mikwamba

Thamani ya mradi huu ni Tsh. 249,834,750/= Mradi una vituo vya kuchotea kumi na nne, mfumo wa kuvuna maji ya mvua uliojengwa katika kijiji cha Magila kutokana na kijiji kukosa majengo ya Taasisi kutokana na hilo miundombinu hiyo ya maji imejengwa katika eneo la zahanati ya Magila – kitako na tank la plastic lenye ujazo wa lita 3,000, wáter jar katika majengo ya shule ya msingi Magila na ferocement yenye ujazo wa lita 5,000 imejengwa katika majengo ya shule ya Sekondari Magila na tanki la kuhifadhia maji juu ya ardhi la ukubwa wa lita 45,000

  • Kijiji cha Kigongomawe

Gharama ya mradi huu niTsh. 266, 167,000/=. Mradi huu chanzo chake cha maji ni kisima kirefu na utatumia mashine ya kusukuma maji kwa kutumia nguvu ya nishati umeme wa TANESCO hadi kwenye tanki lenye ukubwa wa lita 45,000 liliopo juu ya ardhi.  Mradi una nyumba ya mitambo, kituo cha kunywea ng’ombe na mbuzi maji(cattle trough)vituo vya kuchotea vitano, mfumo wa kuvuna maji ya mvua uliojengwa katika eneo la shule ya msingi ambapo kuna tank la plastic lenye ujazo wa lita 3,000, water jar lita 1,000 na ferocement yenye ujazo wa lita 5,000.

Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.