• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

Maji

Idara ya Maji ina jukumu la kutoa huduma ya maji safi na salama . Idara ina jumla ya watumishi 13 ambao ni wahandisi 2, mafundi sanifu 4, mafundi sanifu wasaidizi 7


Majukumu ya Idara ya Maji

1.Kupanga, kusimamia na kuratibu shughuli zote za miradi ya miundo mbinu ya maji ili kuhakikisha kuwa miradi inatekelezwa kwa viwango vya ubora unaokubalika.

2.Kutoa ushauri wa kitaalamu kwa Mkurugenzi wa Halmashauri wakati wa kuandaa na kutekeleza miradi ya ujenzi wa maji katika maeneo yote yanayotekelezwa miradi ya miundo mbinu.

3.Kusimamia utekelezaji wa sera, miongozo na sheria zinazotolewa na serikali juu ya utekelezaji na uendeshaji miradi ya maji ili iweze kuleta tija kwa kuinua uchumi na maendeleo kwa Taifa.

4.Kubuni na kusimamia miradi inayoanzishwa na jamii, Taasisi na Mashirika yasiyo ya kiserikali kwa njia shirikisha jamii kulingana na kanuni na miongozo inayotolewa na serikali ya Jamhuri ya Muungano.

5.Kufanya upimaji na uchunguzi wa miradi mipya ya maji.

6.Kusimamia uundaji wa vyombo vya watumiaji maji (COWSO).

7.Kusimamia sheria ya utunzaji wa vyanzo vya maji.

Idara ya maji inaundwa na Watumishi wafuatao

•Mhandisi  wa maji  Wilaya  

•Mhandisiwa maji  msaidizi      

•Fundi Sanifu  wanne

•Fundi Sanifu wasaidizi saba

 

Mgawanyo wa majukumu katika idara ni katika Tarafa  

•Tarafa ya Muheza mjini inasimamiwa na Meneja maji Mjini na mafundi sanifu wawili

•Tarafa ya Ngomeni  Fundi sanifu watatu

•Tarafa ya Amani Fundi sanifu watatu

•Tarafa ya Bwembwera fundi sanifu watatu


Idara inatoa huduma ya uchimbaji visima kwa kutumia mtambo wa Halmashauri na mpaka sasa Wilaya ya Muheza ina idadi ya visima 42 virefu na 86 visima vifupi na pia idara ya maji inatoa huduma ya kukodisha mtambo  wa Halmashauri kupitia kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya.

Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.