• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

MUHEZA YATEKELEZA AGIZO LA WAZIRI MKUU

Posted on: November 21st, 2025

Mapema tarehe 21/11/2025 Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashuri ya Wilaya ya Muheza Dr. Jumaa Mhina ameshiriki hafla fupi yakukabidhi ndoo na beseni kwa Waganga Wafawidhi wa vituo na zahanati arobaini na mbili (42) za Halmashuri ya Wilaya ya Muheza.

Hatua hii inakuja baada ya agizo la Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Mwigulu Nchemba alilolitoa tarehe 15/11/2025 jijini Dodoma katika hospitali ya rufaa ya mkoa, alipofanya ziara yakushtukiza, ambapo aliagiza hospitali zote nchini zihakikishe zinakua na vifaa vya usafi binafsi vya dharura vikiwemo ndoo na beseni katika wodi za wazazi ili ziweze kuwasaidia wakina mama watakaokua hawana vifaa hivyo.

Katika hafla hio fupi yamakabidhiano iliyofanyika katika chuo cha uuguzi cha St. Augustine Muheza Institute of Health and Allied Sciences (SAMIHAS) Dr. Mhina aliwataka watumishi hao kuvitunza vifaa hivyo nakuagiza kwamba wajawazito wote wanaofika vituoni wahudumiwe vizuri na isijekutokea mjamzito akakwamishwa kupewa huduma kwakukosa vifaa hivyo.

“Ofisi ya Mkuu wa Wilaya na Ofisi ya Mkurugenzi kwakushirikiana na Ofisi ya Mganga Mkuu wa Wilaya leo tunawakabidhi vifaa hivi vikatumike kwa kazi iliyokusudiwa yakuhakikisha wakina mama wajawazito wasiomudu kupata vifaa hivi wavipate vituoni kwenu kwa urahisi nakuhakikisha wanapata huduma zao bila adha zozote. Vilevile niagize yakwamba tusingependa kusikia mama mjamzito anashindwa kupatiwa huduma kisa hana vifaa, hivyo basi vikatumike kwa lengo lililokusidiwa” alisema Dr. Jumaa.

Zaidi Mkurugenzi Mtendaji alitoa wito kwa wadau mbalimbali wilayani Muheza kujitokeza na kuona wanawezaje kuchangia juhudi hizo na agizo la Waziri Mkuu kuhakikisha wakina mama Wilayani Muheza wanapata huduma bila adha zozote.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI MBALIMBALI ZA UCHAGUZI October 06, 2025
  • MAREKEBISHO YA TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO October 23, 2025
  • TANGAZO LA MAOMBI YA MPIGA KURA September 24, 2025
  • Halmashauri, Bodi ya Korosho Muheza Kugawa miche ya Korosho Bure March 07, 2018
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • MUHEZA YATEKELEZA AGIZO LA WAZIRI MKUU

    November 21, 2025
  • MAFUNZO YA UANDAAJI NA UTEKELEZAJI WA MIPANGO NA BAJETI

    November 21, 2025
  • LISHE ALAMA ZA KIJANI MUHEZA

    November 12, 2025
  • UZINDUZI WA BODI MPYA YA AFYA YA WILAYA

    November 12, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.