• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

Ardhi iliyotengwa kwa Uwekezaji

Maeneo yaliyotengwa Kwaajili ya uwekezaji katika Sekta mbalimbali 


  1. Uwekezaji wa Ujenzi wa Miundombinu ya Kitalii 

 Wilaya ya Muheza ina mandhari, mazingira, fukwe za bahari, mila, desturi na tamaduni nzuri sana na zinazovutia kwa shughuli za kitalii lakini ina uhaba mkubwa sana wa miundombinu ya kitalii kama vile Hoteli na Nyumba za Kulala Wageni. Maeneo ya ujenzi wa miundombinu hiyo yapo katika maeneo yenye vivutio hivyo vya utalii.


  1. Uwekezaji wa Miundombinu ya Elimu

 Wilaya ya Muheza inakua kwa kasi kubwa sana kutokana na kuwa katika mazingira mazuri na yanayovutia watu wengi kuishi na kufanya kazi na biashara mbalimbali. Lakini wilaya kwa sasa haina huduma za miundombinu ya elimu ya kati na ya juu, yaani Ujenzi wa Vyuo vya Elimu ya Kati na Elimu ya Juu. Viwanja vya ujenzi wa miundombinu hiyo vipo tayari katika Eneo la Chatur na Muheza Estate na pia uwezekano wa kupatikana viwanja sehemu nyingine zaidi upo.


  1. Uwekezaji wa Miundombinu ya Afya

              Sekta ya Afya ni moja ya sekta yenye hitajio kubwa sana kwa jamii. Mahitaji ya huduma bora za afya kila siku yamejuwa yakiongezeka. Vituo vya huduma za afya vilivyopo bado ni vichache na pia havikidhi mahitaji ya jamii. Maeneo ya kujenga miundombinu ya afya kama vile vituo Vituo vya Afya na Hospitali katika maeneo ya Chartur na Muheza Estate.


  1. Uwekezaji wa Miundombinu ya Kumbi za Kisasa za Mikutano na Starehe

 Wilaya ya Muheza haina kumbi za kisasa za mikutano na starehe na uhitaji wa huduma hizo kwa sasa ni mkubwa sana. Maeneo ya kujenga kumbi za kisasa za mikutano na starehe mbalimbali yapo.


  1. Uwekezaji wa Viwanda vya Kuchakata Mazao ya Kilimo

 Wilaya ya Muheza ni moja ya wilaya yenye uzalishaji mkubwa wa mazao ya kilimo kama vile matunda kama vile Machungwa, Maembe, na matunda mengine mbalimbali, Mihogo pamoja na mazao mengine ya aina mbalimbali. Kwa mantiki hiyo, kuna fursa kubwa sana ya kuwekeza katika viwanda vya uchakataji na usindikaji wa mazao ya kilimo. Maeneo ya ujenzi wa viwanda hivyo yapo na pia uwezekasno wa kupata maeneo zaidi upo.

Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.