• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

Maendeleo ya Jamii

TAARIFA YA IDARA YA MAENDELEO YA JAMII

1.0 UTANGULIZI  

Idara ya Maendeleo ya Jamii inahusika zaidi na kuraghibisha jamii ili iweze kushiriki kikamilifu katika Maendeleo,hii ni pamoja na kubadilisha,mitazamo,fikra,tabia,na mienendo ili iwe chanya kwaajili ya Maendeleo ya wananchi.

Kuiwezesha jamii kuibua kupanga na kutekeleza kwa kikamili yale waliyopanga kwa kutumia zaidi raslimali zilizopo maeneo yao na za nje pale zitakapohitajika

2.0 HALI YA WATUMISHI NA MUUNDO WA IDARA

 Idara ya Maendeleo ya Jamii ina Afisa Maendeleo ya Jamii wilaya na Maafisa Maendeleo watano 5 ngazi ya Wilaya na Maafisa Sita wako  ngazi ya Kata

Idara ina  madawati matano na Kitengo kimoja (1) kama ifuatavyo :

1.MADAWATI:

2.Utafiti na Mipango

3.Dawati la Jinsia na Watoto

4.Kikosi cha Ufundi na Ujenzi

5.Uwezeshaji wananchi kiuchumi

2.VITENGO

1.Idara ina Kitengo kimoja  cha  vijana


3.0  Pia Idara ina ratibu  shughuli zifuatazo

1.Uratibu wa VICOBA

2.Uratibu wa shughuli  wa TASAF

3.Uratibu wa Asasi

4.Uratibu wa Shughuli za Mwitiko wa Jamii katika kudhibiti UKIMWI

5.Uratibu wa Shughuli za Mradi wa ushauri wa kisheria kupitia mfuko wa ABBOT

4.0 MAJUKUMU YA IDARA :

1.Kuhamasisha na kuiwezesha jamii,kushiriki katika  kutambua, kuibua, kupanga , kutekeleza, kufuatilia na kutathimini shughuli zao za Maendeleo.(To ensure that community Participate fully in formulating, Planning, implementing and evaluating Development Plans.

2.Kuhamasisha jamii kushiriki katika  shughuli zote za Maendeleo ikiwemo miradi ya ujenzi ya kijamii,usafi wa mazingira

3.Kusimamia na kuhamasisha shughuli za uwezeshaji wananchi kiuchumi kupitia  vikundi vya uzalishaji mali vya wanawake ,vijana , vikundi vingine vya kiraia ,VICOBA na WEKEZA

4.Kuratibu shughuli za Mwitiko wa jamii katika  kudhibiti UKIMWI

5.Kuhamasisha ujenzi wa nyumba bora na uimarishaji wa vikosi vya ujenzi vya Kata vikiwemo vya vijana

6.Kuhamasisha shughuli zote za Maendeleo ya watoto .

7.Kukusanya takwimu mbalimbali za Maendeleo ya Jamii kwaajili ya Mipango  ya  Maendeleo ya jamii

8.Kuwezesha wanawake na vijana kuongeza kipato chao  kupitia fursa mbalimbali za kiuchumi ikiwemo, utoaji wa mikopo kwa vikundi vya uzalishaji mali vya wanawake na vijana kupitia mfuko wa Maendeleo wa Wanawake na vijana wa Halmashauri

9.Kuratibu shughuli zote za Asasi

10.Kuziwezesha jamii kutambua fursa walizonazo ili kutatua vikwazo vya maendeleo (mipango shirikishi).

11.Kujenga uwezo wa Halmashauri na vijiji juu ya utawala bora, upangaji mipango shirikishi na bajeti.

12.Kueleimisha jamii kuingiza masuala mtambuka katika mipango,bajeti, na shughuli za maendeleo kama usafi wa mazingira, mapambano dhidi ya UKIMWI, Mapambano dhidi ya rushwa na Jinsia

.


Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.