• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

Kilimo

Uwekezaji katika Kilimo

1. Utangulizi

Mazao ya kibiashara yanayolimwa Muheza ni kama machungwa, chai, mazao ya viungo ( iliki, mdalasini, pilipilimanga na karafuu) miwa, nazi, katani, kokoa na korosho. Uzalishaji wa mazao ya kibiashara kwa mazao 9 makuu katika muda wa miaka 4 mfululizo ni tani 111,154.85 kwa mwaka 2013/2014, tani 160,155.36 kwa mwaka 2014/2015, tani 261,363 kwa mwaka 2015/2016, na tani 272,204.6 kwa mwaka 2016/2017. Jedwali hapo chini laonesha.

Jedwali: Uzalishaji kwa tani kwa mwaka 2013/14 hadi 2016/17

Mazao

2013/14

2014/2015

2015/2016
2016/2017

Nazi

3,119.96

3,983.4

2,576

2,280.6


Mihogo

71,590

45,570

30,216
59,554.2

Machungwa

101,849.60

93,086

221,195
201,781.4

Korosho

229.2

98

 215.6
199.2

Iliki

165.7

161.2

131.6
98.7

Mdalasini

198.5

232

105.2

202.6


Karafuu

380.6

487

392.6

432


Pilipilimanga
1032.19
1103.5
2123.3
2130.7

Chai (Wakulima wakubwa)

1,819

2,759

2123.3
1371.7

Chai (Wakulima wadogo)

136

134

134.5
151.2

Katani

2,224.1

2,614.26

2052.72
4099.7


Jumla Kuu


111,154.85



                                160,155.36



261,363


272,204.6



2. Kilimo cha Mazao ya viungo(Mdalasini, Karafuu, Iliki, Pilipili Manga).

Uzalishaji na uuzaji wa viungo ni wa chini ingawa kuna maeneo mazuri ya uzalishaji. Kuna ukuaji mkubwa wa mahitaji ya mazao ya viungo duniani ikiwa uzalishaji utakuwa na ubora hasa kilimo kisichotumia mbolea za viwandani. Soko la nje ni kama Afrika ya kati, Asia, Ulaya, Afrika na Amerika. Soko la ndani linajumuisha Zanzibar na Tanzania Bara. Hivyo wanadau mbalimbali wanakaribishwa  katika uwekezaji  wa  mazao ya viungo hasa kwenye uzalishaji na uongezaji thamani ( usindikaji wa viungo).







1. Pichani ni Mazao ya viungo kushoto Karafuu, Katikati ni Iliki, na kulia ni Pilipilimanga, Mdalasini (nyuma).



2. Pilipilimanga katika hali ya ubichi (chini)


3. Shamba la chai Amani 



3. Maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya uwekezaji katika Sekta ya KIlimo;

  • Shamba la Sigi Miembeni

Shamba lina ukubwa wa Hekta 3,036.36 na limepimwa, eneo la ardhi lililotengwa kwa ajili ya uwekezaji ni Hekta 892.1 na utaratibu wa uwekezaji utakaotumika ni ubia au Kuuza.

  • Kilimo cha Mazao ya viungo

Viungo vinavyostawi katika Wilaya ya Muheza ni Iliki, Mdalasini, Karafuu, Pilipili manga na Kakao. Uzalishaji na uuzaji wa viungo ni wa chini ingawa kuna maeneo mazuri ya uzalishaji. Kuna ukuaji mkubwa wa mahitaji ya mazao ya viungo duniani ikiwa uzalishaji utakuwa na ubora hasa kilimo kisichotumia mbolea za viwandani. Soko la nje ni kama Afrika ya kati, Asia, Ulaya, Afrika na Amerika. Soko la ndani linajumuisha Zanzibar na Tanzania Bara.

  • Zao la Mpira

Eneo lililotengwa ni Kihuhwi shamba la Bwembwera lenye ukubwa wa hekta 2,300. Uzalishaji wa mpira kibiashara bado haujaendelezwa hapa Tanzania kiujumla, Uzalishaji wa Mpira katika Tarafa ya Bwembwera ni mkubwa na kama utaendelezwa bidhaa nyingi zinazotokana na mpira zitazalishwa.

Kusoma zaidi Fursa zote za Uwekezaji zinazopatikana katika Wilaya ya Muheza Tafadhari pakua hapa( fursa za uwekezaji MUHEZA.pdf) Na (SHUGHULI ZA UWEKEZAJI.pdf)

Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.