• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

WORLD VISION YAFANYA MAFUNZO MUHEZA

Posted on: September 20th, 2018


Shirika lisilo la kiserikali World vision lenye makao makuu Hale Wilayani korogwe imeamua kufanya mafunzo kwa kamati ya kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na watoto ngazi ya Wilaya baada ya kuona vitendo hivyo kuongezeka katika jamii.

Akizungumza katika mafunzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Wilaya Muheza jana Muwezeshaji wa mradi World Vision Ndugu Akilimali Yohana Leverian amesem a lengo la mafunzo ni kuhakikisha ulinzi na usalama wa mtoto unasimamiwa ipasavyo katika jamii hivyo basi jukumu la kumlinda mtoto ni la mzazi/mlezi, serikali ya jamii yote inayomzunguka mtoto.  

Pia aliitaka kamati ya kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na watoto ngazi ya wilaya ikasaidie kuunda kamati  ngazi ya kata na vijiji na ikatoe mafunzo stahiki kwa jamii hivyo basi ukatili dhidi ya wanawake na watoto ukomeshwe.

Akielezea  dalili za mwanamke au mtoto aliefanyiwa ukatili Afisa maendeleo ya jamii Mkoa wa Tanga (muwezeshaji) Ndugu Emily Mashauri alisema mtoto au mwanamke aliefanyiwa ukatili huwa mnyonge,hukosa amani, hajiamini, huishi kwa kujitenga na hali chakula vizuri.

Pia Afisa Ustawi wa jamii Mkoa Tanga(muwezeshaji ) Ndugu Mmassa Malugu ameeleze kuhusu malezi, msaada na uhusiano katika jamii kuwa, Malezi ni utoaji wa huduma muhimu kwa mtoto zikiwemo, ulinzi, afya elimu na uchangamshi.

Aliongeza kuwa kabla mtoto kuzaliwa mama anahitaji kuhudhuria kliniki mara nne kwa ajili ya kupata chanjo za kumkinga mtoto aliopo tumboni na mtoto azaliwapo apewe chanjo ya pepopunda ili kumkinga na ulemavu “huduma muhimu za malezi baada ya kuzaliwa mtoto ni chanjo nyingine kama kifua kikuu, kifadulo, polio, donda koo, pepopunda, homa ya ini na homa ya uti wa mgongo ambazo humkinga na magonjwa ya mlipuko” alisema Mmassa.

Katika upande wa lishe malugu amesema kuwa mtoto anahitaji lishe bora na kunyonya maziwa ya mama katika kipindi cha mwaka mmoja   ilia pate viini lishe muhimu kutoka mwilini. Mtoto anatakiwa kula  mlo kamili kwa maana ya makundi matano ya vyakula vyenye Wanga, Vitamin, Protini, Madini na kimiminika.

Akizungumzia ulinzi na usalama wa mtoto alisema mtoto anatakiwa kulindwa dhidi ya aina zote za ukatili kama ukatili wa kimwili(kupigwa, kubakwa, kulawitiwa) kisaikolojia na kiakilli kwani watoto wana haki ya kusikiliza na kushirikishwa katika Nyanja zote za maendeleo katika maisha yao hivyo basi amewataka wazazi/walezi kuwa na urafiki na watoto ili wawe huru na wanachotaka kuongea.

Akitoa neo la ushirikiano, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Wilaya Bwana Godhelp Ringo amesema halmashauri iko tayari kushirikiana na World Vision kwa kuwaruhusu watumishi kufanya nao kazi ili kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na watoto na akasisitiza kuwa mafunzo yawe endelevu ili wanakamati waendelee kuwa na uelewa zaidi.

 Kwa upande wa Kaimu Mkuu wa Wilaya Muheza Ndugu Desteria Haule, alimuagiza  Mkurugenzi Mtendaji Wilaya kuingiza bajeti ya kamati ya kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na watoto katika Mpango wa bajeti ya mwaka 2019/2020 na mpango huo upite kwenye vikao vyote, pia ameitaka jamii kutokomeza mila na desturi potofu kama za kukeketa mwanamke, kuwe na haki sawa kwa

wanakamati wakimsikiliza muwasilisha mada kwa makini
wanakamati wakijibu maswali 









Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.