• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

WAZIRI UMMY AZINDUA MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI MUHEZA

Posted on: August 2nd, 2020


Waziri wa Afya maendeleo ya jamii, jinsia, Wazee na watoto Mhe Ummy Mwalimu amezindua Wiki ya Unyonyeshaji kitaifa uliyofanyika tarehe 1/8/2020 katika Uwanja wa Jitegemee Wilayani Muheza.

Kauli mbiu ya Maadhimisho ya Wiki ya Unyonyeshaji ya Mwaka 2020, “Tuwawezeshe Wanawake kunyonyesha Watoto kwa Afya Bora na Ulinzi wa Mazingira” ikiwa na maana kuwa unyonyeshaji wa Maziwa ya mama ni suluhisho mojawapo ambalo linahitaji ushiriki mkubwa wa sekta mbalimbali ili kutatua changamoto za kiafya na kimazingira.

Akizungumza katika hafla hiyo Mhe Ummy amesema Maziwa ya mama ni muhimu katika ulinzi wa afya ya mtoto kwa kuwa humsaidia kukua vizuri, kuwa na uelewa wa haraka Shuleni pia humuepusha na magonjwa ya mara kwa mara.

Aliongeza kuwa Unyonyeshaji watoto maziwa ya mama hupunguza kiwango cha matumizi ya  maziwa na vyakula mbadala vya watoto wachanga na wadogo yanakwenda sanjari na matumizi ya vifungashio mbalimbali vya plastiki, nishati kama kuni, mkaa na chupa za kulishia watoto ambavyo huchangia ongezeko la hewa ya ukaa (kaboni) inayoathiri mazingira ya dunia.

Katika hatua  nyingine amekabidhi vitini vya lishe ya wanawake, watoto  na vijana balehe kwa ajili ya vyombo vya habari ili elimu ya lishe iweze kusambazwa katika jamii hatimaye kuchochea mabadiliko chanya ya tabia zinazoathiri lishe.

Aidha amewataka wakina mama kuwanyonyesha watoto wao miezi 6 mfululizo bila kuwapatia kupewa kinywaji au chakula kingine chochote ili kuboresha hali ya lishe ya mtoto aweze kukua vizuri kimwili na kiakili.

Kwa Upande wake Mkuu wa Wilaya Muheza Mhe Mwanasha Rajab Tumbo amewataka wakina mama wanyonyeshe watoto kwa kuwa ni njia mojawapo ya uzazi wa mpango.

 

 

MHE UMMY MWALIMU ( WA KATIKATI) AKIINGIA UWANJANI JITEGEMEE MARA BAADA YA KUWASILI MUHEZA. MHE, UMMY MWALIMU (MWENYE NGUO ZA VITENGE) AKISALIMIANA NA MKUU WA WILAYA MUHEZA MWENYE HIJABU NYEUSI PAMOJA NA VIONGOZI WA KAMATI  YA CHMT 











Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI June 24, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI, VIBARUA WAKUSANYAJI USHURU June 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI, NAFASI ZA WATENDAJI WA VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 01, 2024
  • TANGAZO LA NYONGEZA KUITWA KWENYE USAILI October 03, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSHWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • WAHUDUMU WA AFYA NGAZI YA JAMII KUWAFIKIA WANANCHI VIJIJINI

    February 14, 2025
  • OMBI KUPATIWA HALMASHAURI YA PILI NDANI YA HALMASHAURI YA WILAYA YA MUHEZA

    February 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.