• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

WAZAZI WATAKIWA KUWA MSTARI WA MBELE KUTETEA HAKI ZA MTOTO

Posted on: June 17th, 2021


Wazazi wametakiwa kuwa mstari wa mbele kuhakikisha wanawapatia watoto haki zao za msingi ili waweze kujenga  na kuinua uchumi wa familia zao na Taifa kwa kuwa aTaifa linawategemea na kuamini kuwa wao ndio viongozi wa baadae.

Akizungumza katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika Mwakiishi wa Mkuu wa Wilaya Muheza ambaye ni mgeni rasmi katika hafla hiyo Katibu Tawala  Wilaya ya Muheza Desderia Haule amesema wazazi wanatakiwa kuhakikisha watoto wanawapeleka watoto shuleni wakapate elimu ilwaweze kuwa viongozi wa Taifa hili

Aliendelea kuwa ulinzi wa mtoto ni jukumu la mzazi/mlezi  hivyo basi kila mzazi/mlezi ahakikishe mtoto wake haendi kwenye vigodoro usiku il kumlinda na vitendo vya ukatili vinavyoweza kujitokeza akiwa mahali hapo kama vile ubakaji, ulawiti na kumuepusha mimba za utotoni ambavyo vinaweza kufifilisha ndoto zao.

“Viongozi wa Serikali, na wadau wengine tuwe mstari wa mbele kutetea haki za mtoto , nanyi watoto mtoe taarifa  kwa wazazi/ walezi na walimu ukiona mwenzio au wewe mwenyewe anafanyiwa ukatili, tusiwaruhusu watoto kwenda kwenye kumbi za starehe usiku” alisema  Bi Desderia.

Awali akielezea historia ya maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika kaimu Mkurugenzi Mtendaji ambaye ni Afisa maendeleo ya jamii wilaya Muheza Bi. Vije Mfaume Ndwanga amesema imetokana na wanafunzi ,2,000 waliouwawa huko SOWETO Afrika kusini Mwaka 1976 walipokuwa wakiandamana ili wapate haki zao za msingi na kupinga ubaguzi wa rangi uliokuwa ukifanywa utawala wa makaburu.

Akizungumzia haki ya mtoto ya kupata lishe bora Afisa maendeleo ya jamii Potina Guga amesema lishe ya mtoto huanzia tangu mimba inapotungwa tumboni ambapo mtoto anatakiwa kupata makundi 5 ya vyakula, Nafaka  kama vile mchele, mahindi na mhogo, vyakula vya nyama maziwa, matunda ya aina yote, mbogamboga kama mchicha spinachi na mafuta na asali ili kuwaepusha na udumavu kwani mtoto akipata mlo kamili humsaidia kuwa msikivu na mbunifu shuleni na mwenye kufanya vizuri darasani.

Vile vile mada mbalimbali za lishe, haki za mtoto, sheria ya mtoto,, madawa ya kulevya na madhara yake viliwasili, ukatili viliwasilishwa ili kumlinda mtoto na asiweze kupoteza ndoto zake za baadae.

Katika htukio jingine mgeni rasmi Desderia Haule alitoa vyeti 16 kwa wanafunzi waliofaulu vizuri darasani wa shule ya msingiubembe, Nkumba, Nkumba kisiwani na Matombo

Aidha hafla hii ilihudhuriwa na wanafunzi 600 wa shule ya msingi, ubembe, Nkumba, Nkumba kisiwani, Matombo na shule ya sekondari Nkumba pamoja na viongozi wa siasa, viongozi wa dini kiislam na kikristo, wadau, WORLD VISION, LUNGUZA, MKUTA, ZICOSAD, SHIDEPHA, NMB, CRDB  ZICOSAD, NA WATUMISHI WA HALMASHAURI MUHEZA NA WANANCHI.

KATIBU TAWALA WILAYA MUHEZA AKIZUNGUMZA WAKATI WA MAADHIMISHO KATIBU TAWALA WILAYA YA MUHEZA DESDERIA HAULE AKITOA ZAWADI KWA WATOTO 16 WALIOFAUKU VIZURI. DIWANI KATA YA MAJENGO MHE, MUKADAM ABASI SABUNI AKIKABIDHI ZAWADI YA WALIMU WALIOWAFUNDISHA WANAFUNZI NYIMBO, NGONJERA, NA MAIGIZO KWA KATIBU TAWALA WILAYA MUHEZA BI DESDERIA HAULE KATIBU TAWALA WILAYA YA MUHEZA BI DESDERIA HAULE  AKIKABIDHI ZAWADI KWA WALIMU WALIOFUNDISHA WANAFUNZI NYIMBO, NGONJERA, NA MAIGIZO KAIMU MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA WILAYA MUHEZA NA MAKAMU MWENYEKITI WA HALMASHAURI HIYO AMBAYE NI DIWANI KATA YA ZIRAI SALIMU SECHAMBO AKIZUNGUMZA WAKATI WA MAADHIMISHO. AFISA MAENDELEO YA JAMII WILAYA YA MUHEZA BI. VIJE MFAUME NDWANGA AKIZUNGUMZA WAKATI WA HAFLA HIYO. WADAU WA WA TAASISI MBALIMBALI WAKIZUNGUMZA KATIKA HAFLA HIYO. NMB, WORLD VISION, CRDB NA ZICOSAD WATAALAM WA IDARA YA MAENDELEO YA JAMII NA USTAWI WA JAMII WAKIWASILISHA MADA YA LISHE, MADAWA YA KULEVYA NA UKATILI DHIDI YA WATOTO SIKU YA MTOTO WA AFRIKA TAREHE 16/6/2021 KATIKA KIJIJI CHA KWEMHOSI KATA YA NKUMBA WANAFUNZI WAKIWA KWENYE MAANDAMANO NA BURUDANI MBALIMBALI SIKU YA MAADHIMISHO YA MTOTO WA AFRIKA JUNI 16,2021. SEHEMU YA WANAFUNZI WALIOSHIRIKI, SHULE YA MSINGI MATOMBO, NKUMBA, NKUMBA KISIWANI NA SEKONDARI NKUMBA. SEHEMU YA WANANCHI WALIOSHIRIKI








 

 

Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.