• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

WATENDAJI WATAKIWA KUWAELIMISHA WAZAZI UMUHIMU WA ELIMU KWA MTOTO

Posted on: February 3rd, 2020


Kutokana na kuwepo kwa muitikio mdogo wa Wazazi kuhusu Elimu, pia kushuka kwa ufaulu Wilayani Muheza 2019. Ambapo hali ya ufaulu 2019 ni 65.3% umeshuka kwa 8.7% ukilinganisha na ufaulu Mwaka 2018 ulikuwa ni 74% kwa  Shule za Sekondari,Watendaji wa Vijiji wameombwa kuwaelimisha Wazazi umuhimu wa Elimu. Yamezungumzwa katika kikao cha Elimu kilichofanyika katika ukumbi wa CWT lengo ni kutatua changamoto za Elimu na kuongeza ufaulu kwa Wanafunzi wa Muheza.

Katika kikao hicho cha Elimu, Mratibu wa Elimu kata ya Kwakifua Ndugu Buzuka ameomba Watendaji pamoja na Wenyeviti wa Vijiji kuwaelimisha Wazazi umuhimu wa Elimu “ili tuweze kuongeza ufaulu ni lazima kuwepo na mahusiano mazuri kati ya Mzazi na Mwalimu naomba wadau wa Elimu, Wenyeviti wa Vijiji na Vitongoji mtuungunishe sisi Walimu na Wazazi ili tuweze kuelewana naomba kutengenezwe kwa sheria ndogondogo ambazo zitawabana Wazazi” Amesema Buzuka.

Ameyasema hayo baada ya Afisa Elimu Happiness Laizer kutoa changamoto zinazowakabili katika eneo la Elimu kama vile upungufu wa Maabara, Vyumba vya Madarasa na Nyumba za Walimu, Wazazi kuruhusu watoto kushiriki vigodoro, utoro wa rejareja, ukosefu wa chakula mashuleni na upungufu wa Walimu 509.

Sambamba na hayo Mkurugenzi Mtendaji Ndugu Nassib Mmbanga amewaomba Maafisa Elimu kuwashirikisha wadhibiti ubora katika kuchagua Walimu Wakuu ili kuweza kupatikana Walimu bora watakao saidia Watoto kufaulu “nawaomba Walimu mpendane ili muweze kufanya kazi kwa pamoja” amesema Mkurugenzi Mtendaji.

Vilevile Mkuu wa Wilaya ya Muheza amewaomba Walimu kufanya Kazi kwa haki na kwa uadirifu “naomba sitahiki za Walimu zifanyiwe kazi kwani Walimu wanafanya Kazi katika Mazingira magumu wanahitaji kupewa haki zao” amesema Mhe; Mwanasha Tumbo.

Afisa Elimu Sekondari Wilaya ya Muheza Bi. Happiness Laizer akiwasilisha Taarifa ya Elimu katika kikao cha Elimu kilichofanyika katika Ukumbi wa CWT

Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.