• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

WATANZANIA WATAKIWA KUMUENZI HAYATI MAGUFULI KWA KUFANYA KAZI KWA BIDII

Posted on: March 20th, 2021


Watanzania wametakiwa kumuenzi aliyekuwa Rais wa Jamhuriya Muungano wa Tanzania Mhe, Dkt John Pombe Joseph Magufuli kwa kuzingatia na kufuata falsafa yake ya “HAPA KAZI TU” kwa kufanya kazi kwa bidii ili kuliletea Taifa hili Maendeleo.

Hayati Dkt John Pombe Joseph Magufuli alifariki mnamo tarehe 17/3/2021 majira ya saa 12:00 jioni katika hospitali ya Mzena iliyopo jijini Dares salaam alipokuwa akipatiwa matibabu ya ugonjwa wa Moyo aliyokuwa akiishi nayo kwa Muda wa Miaka 10 sasa.

Akizungumza  na Waandishi wa habari jana  tarehe 19/3/2021 katika ofisi yake mpya iliyoko katika kijiji cha Tanganyika kata ya Lusanga karibu na eneo la mradi wa ujenzi wa Hospitali ya wilaya Muheza Mkuu wa Wilya hiyo Mhe, Mwanasha tumbo amesema hayati DKT John Pombe Magufuli alikuw ni Mchapakazi, jasiri, mtetezi wa wanyonge , shujaa na mpenda maendeleo hivyo waanzania hatuna budi kumuenzi kwa falsafa yake.

Aliendelea kuwa marehemu Magufuli alipenda sana kufanya kazi zenye kuwaletea maendeleo watanzania ndio maana aliweza kusimamia miradi mbalimbali ya maendeleo na alihakikisha inakwisha kw wakati ulopangwa, kama vile barabara ya Muheza- Amani, Mradi wa maji kilapura, vyumba vya madarasa, nyumba za walimu, hospitali ya wlaya ambayo ni miradi itakayofanya watu wa Muheza wasimsahau daima.

Aliongeza kuwa kiongozi huyu aliweza kung’oa visiki vyote vigumu vilivyoachwa na muasisi wa kwanza wa Taifa hili hayati Mwl Julius Kambarage Nyerere vilivyowanyima haki na kusababisha umaskini kwa watanzania ambavyo ni Rushwa , na Madawa ya kulevya.

Kadhalika aliwataka wananchi wa taifa la Tanzania kufanya kazi iliyo halali ndio maana aliweza kupambana na mafisadi, majambazi, wafanyabiashara ya madawa ya kulevya na wapenda rushwa kwani msingi wa vitu hvi ni kukosa haki.

Katika hatua nyingine aliwataka Watanzania kudumisha amani mshikamano , utulivu , upendo kwani ni miongoni mwa tunu za Tafa la Tanzania .

“Ndugu zangu Watanzania wenzangu tuwe watulivu, tudumishe amani, mshikamano, ili tuweze kuijenga Tanzania yenye upendo na utulivu” alisema Mkuu wa Wilaya Muheza.

Nao wafanya biashara wadogo wadogo waendesha pikipiki maarufu kama boda boda na wauza samaki wa wilayani Muheza wamesema wamesikitishwa kupotelewa na jemadali Magufuli kwa kuwa aliwasaidia kupata mikopo na kuwatengenezea barabara Muheza- Amani itakayowasidia kufanya biashara zao kirahisi.





Mkuu wa Wilaya Muheza Mhe. Mwanasha Tumbo akizungumza namna alivyokipokea kifo cha aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanza nia Mheshimwa John Pombe Magufuli akiwa ofisini kwake Lusanga.










Viongozi wa Dini wakiomwombe Hayati Dkt John Pombe Magufuli na Mhe Samia Suluhu Hassan ambaye anachukua nafasi ya Marehemu Magufuli mara baada ya kifo chake Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya Muheza wakisaini kitabu cha Maombolezo kilichopo katika ofisi ya Mkuu wa Wilaya Muheza jana tarehe 19/3/2021.

Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.