• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

WATANZANIA WATAKIWA KUFANYA UCHAGUZI KWA KUZINGATIA AMANI YA NCHI

Posted on: October 14th, 2020


Watanzania wametakiwa kujiepusha na vitendo viovu vitakayopelekea kuvuruga Amani ya Nchi iliyoachwa na Mhasisi wa Taifa la Tanzania ambaye ni Rais wa Kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayyati Mwl Julius Kambarage Nyerere.

 Ameyasema hayo Mkuu wa Wilaya Muheza Mhe, Mwanasha Tumbo  ambaye alikuwa Mgeni rasmi katika Kongamano la Ibada Maalum ya kuombea Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2020  na kumuenzi Mhasisi wa  Taifa ambaye kwa sasa amutimiza miaka 21 tangu alipoiaga dunia, ulliofanyika leo tarehe 14/10/2020 katika Uwanja wa jitegemee

Pamoja na hilo amewataka wananchi wa Muheza na Taifa kwa ujumla kufuata maadili ya dini ambayo humtaka mtu kutokwenda kinyume na taratibu zilizowekwa na sheria ya nchi ikiwa ni sambamba na kutojihusisha na vitendo vya uchochezi , vurugu ili kulinda amani ya Nchi yet na kutoweka matabaka.

Mhe, Mwanasha amesema kuwa kwa yoyote atakayevunja sheria atachukuliwa hatua kwasababu ni mtu ambaye anahitaku hatarisha Amani.

Mbali na hilo pia amewataka wananchi kutodanganyika na mtu yeyote anaetaka kuuziwa kitambulisho cha mpiga kura ni kosa la jinai kutenda kosa hili kwa yeyote atakaethubu kufanya kosa hili awe muuzaji au mnunuaji atachukuliwa hatua za kisheria .

Lakini pia amewataka wananchi kupiga kura kwa Amani katika vituo vyao walivyojiandikishia na baada   ya hapo wanatakiwa kurudi nyumbani ili kujiepusha na uchochezi utakaoweza kuleta ugomvi.

“Mwananchi yeyote aliyejiandikisha kupiga kura hakikisha anafika katika kituo alichojiandikisha na kupiga kura maana ni haki ya kila mmoja wetu hata vitabu vya dini vimesema kupiga kura ni haki ya mtu na ni dhambi kutokupiga kura” alisema Mkuu wa Wilaya Muheza.

Kwa upande wa viongozi wa dini wa Madhehebu ya dini zote wamesema suala la Amani ni jambo la msingi katika maisha ya binadamu hivyo basi kila mmoja azingatie hilo na kwenda kinyume na mwenyezi mungu ni kumkosea na adhabu yake ni kubwa kwake.

Viongozi wa dini wa Madhehebu mbalimbali wakizungumza wakati wa ibada  Viongozi wa dini wa madhehebu mbalimbali walioshiriki katika hafla hiyo iliofanyika katika uwanja wa jitegemee tarehe 14/10/2020 Wajumbe wa kamati ya Amani ya Wilaya Muheza wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya ibada
kukamilika 
Sehemu ya Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya Muheza walioshiriki katika kongamano hilo.
Mamia ya wananchi walioshiriki katika kongomano la ibada maalum  ya kuombea uchaguzi ili ufanyike kwa njia ya amani iliofanyika katika uwanja wa jitegemee tarehe 14/10/2020 ikiwa ni siku ya kumbukizi ya miaka 21 ya kifo cha Mwl Nyerere.


Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI June 24, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI, VIBARUA WAKUSANYAJI USHURU June 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI, NAFASI ZA WATENDAJI WA VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 01, 2024
  • TANGAZO LA NYONGEZA KUITWA KWENYE USAILI October 03, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSHWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • WAHUDUMU WA AFYA NGAZI YA JAMII KUWAFIKIA WANANCHI VIJIJINI

    February 14, 2025
  • OMBI KUPATIWA HALMASHAURI YA PILI NDANI YA HALMASHAURI YA WILAYA YA MUHEZA

    February 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.