• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

WANANCHI NA WADAU WAKUMBUSHWA UMUHIMU WA UTAWALA WA SHERIA

Posted on: February 3rd, 2025


 Tarehe 3/2/2025 Hakimu Mkazi wa Wilaya ya Muheza Mheshimiwa Lusajo Mueni Mutua ameongoza maadhimisho ya kilele cha siku ya sheria nchini katika viunga vya Mahakama ya Wilaya ya Muheza iliyopo kata ya Mbaramo. Maadhimisho haya yalitanguliwa na Wiki ya sheria iliyoanza tarehe 25/1/2025 mpaka leo yakiwa na lengo lakuwakumbusha wadau na wananchi umuhimu wa utawala wa sheria.


Aidha mwakilishi wa Mkuu wa Wilaya ya Muheza ambae pia ni Afisa Tarafa ndugu Ally Kijazi amewataka Wananchi wasikae kimya pale ambapo mambo yasiyokua mazuri yakiendelea katika maeneo yao wanayoishi kama mambo ya unyanyasaji na ulawiti pia watoe ushirikiano wa kutoa ushahidi mbele ya Mahakama.


“Mwenye Haki apewe haki asie na haki aelezwe ukweli na utaratibu wa kisheria kwamba jambo hili halipo sawa kwahiyo mwenye haki asicheleweshewe haki yake”.


Nae Mwanasheria wa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza Bi Anjela Mwapachu ameeleza kuwa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza inapokea Wananchi mbalimbali kupitia kitengo cha Sheria na kutatua changamoto mbalimbali ikiwemo migogoro ya ardhi, talaka na malezi ya Watoto na kutoa ushauri mbalimbali utakaosaidia kutoa suluhu au kuwaongoza Mahakamani kupatiwa haki.


Katika hotuba yake Mheshimiwa Mutua amesema kuwa hadi sasa Mahakama imefanikiwa kusikiliza kesi za Madai na Jinai Mashauri 161 yaliyobaki hadi sasa ni 27 huku Mahakama za Mwanzo Mashauri 910 yamesikilizwa na yaliyobaki ni 64 tu.Takwimu hizi zinajumuisha Mahakama zote za mwanzo ndani ya Wilaya ya Muheza kwa mwaka 2024/2025.


Siku hii iliyoambatana na Kauli mbiu ya “TANZANIA YA 2050: NAFASI YA TAASISI ZINAZOSIMAMIA HAKI MADAI KATIKA KUFIKIA MALENGO MAKUU YA DIRA YA TAIFA YA MAENDELEO”, Mheshimiwa Mutua amesema kuwa wataendelea kutoa elimu kwa jamii na amewasisitiza wananchi na wadau wote kuwa wanahaki ya kupata huduma za kisheria hivyo wawe mstari wa mbele kupata haki zao.


“Na wale walio karibu na viunga vya mahakama muda wowote saa yoyote wafike ofisi zipo wazi tupo kwa ajili ya kuwahudumia

Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.