• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

Wakoma 25, Watoto 420, Wananchi Kata ya Mkuzi waneemeka Eid –El-Haji

Posted on: August 23rd, 2018

Mkuu wa Wilaya ya Muheza Mheshimiwa Mwanasha Tumbo ameshiriki chakula cha pamoja na watoto 420 wanaoishi katika mazingira magumu, walemavu na yatima kutoka Afrihovic na wanafunzi  wanaosoma shule za Mbaramo, Masuguru na Mlingani WIlayani Muheza Jana Agosti 22, 2018 katika Ukumbi wa Tareku.

Pamoja na kushiriki nao chakula katika sikukuu hiyo Mheshimiwa Tumbo aliwahi kuwapatia watoto hao baadhi ya mahitaji yao ya shule kama vile madaftari, kalamu. Pia aliwafungulia akaunti ya benki jumla ya watoto 296 na kuwapatia bima ya afya ili waweze kupatiwa matibabu bure pindi wanapopatwa na maradhi, alifanya hivyo ili kuwawezesha watoto hao kuendelea kufaulu vizuri katika masomo yao  kwasababu wazazi wao hawana uwezo wa kukidhi mahitaji yao.

Aidha aliwahamasisha wadau walioshiriki katika hafla hiyo  kuanzisha mfuko wa kuhudumia watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi Muheza na hatimaye kiasi cha Tsh 330,000/= kilipokelewa na ahadi ya Tsh. 1,805,00/= , vile vile alitoa zawadi kwa watoto waliofaulu vizuri kuanzia mwaka 2017 kwenda 2018 kwa ajili ya kuwahamasisha wanafunzi wengine waongeze jitihada katika masomo yao.

Pia alipata fursa ya kutembelea kituo cha kulelea Wakoma katika Kitongoji cha Misufini kijiji cha Umba Kata ya Ngomeni ambapo jumla ya walemavu 25 walipatiwa kondoo mmoja, mafuta kupikia ndoo moja na mchele kilo 50 ili waweze kusherehekea sikukuu hiyo kwa furaha.

Kwa upande mwingine alikabidhiwa Ng’ombe 88 na kondoo 100 katika kata ya Mkuzi na asasi ya kiislam ijulikanayo kwa jina la Islamic Help kwa ajili ya kuchinja siku ya Eid, Pia aliwasihi wananchi waendelee kuwa na uvumilivu kwani watagaiwa  kitoweo hicho kikishachinjwa.

Nae Mheshimiwa Diwani wa kata ya mkuzi Bi Sharifa Kivugo ameendelea kuwasisitiza wananchi waendeleekuwa wavumilivu kwani kitoweo hicho kitagaiwa kwa kila kitongoji.

Chakula cha pamoja na watoto 420 wanaoishi katika mazingira magumu




Mhe. Tumbo(Aliekatikati) akishauriana jambo na Wanakamati wa maandalizi wa sherehe hizo

Madiwani na Wanafunzi wakiwa katika hafla hiyo






Mhe. Tumbo. wanakamati na Wadau mbalimbali wakiwa katika picha ya pamoja.
Mhe. Tumbo akimkabidhi zawadi mwanafunzi aliefanya vizuri darasani



Mwanafunzi mwenye ulemavu vya viungo shule ya Msingi Kwafungo, Maimuna akikata keki kwa mdomo siku ya Eid El Haji

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI MBALIMBALI ZA UCHAGUZI October 06, 2025
  • MAREKEBISHO YA TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO October 23, 2025
  • TANGAZO LA MAOMBI YA MPIGA KURA September 24, 2025
  • Halmashauri, Bodi ya Korosho Muheza Kugawa miche ya Korosho Bure March 07, 2018
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • LISHE ALAMA ZA KIJANI MUHEZA

    November 12, 2025
  • UZINDUZI WA BODI MPYA YA AFYA YA WILAYA

    November 12, 2025
  • DC SEBABILI ATOA WITO K WA WANANCHI KUTOA TAARIFA ZA WANAOTISHIA KUVUNJA AMANI SIKU YA UCHAGUZI

    October 18, 2025
  • TANZANIA KUENDELEA KUA KITOVU CHA UZALISHAJI WA KANDA YA AFRIKA MASHARIKI

    October 16, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.