• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

WAJUMBE WA KAMATI YA SIASA MKOA WAPONGEZA VIONGOZI MUHEZA

Posted on: January 4th, 2022


Wajumbe wa Kamati ya siasa wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Tanga imetoa pongezi kwa viongozi wa Serikali na Chama wa Wilaya ya Muheza kwa namna walivyoweza kutekeleza Ujenzi wa Miradi ya Mpango wa Maendeleo kwa Ustawi wa Taifa dhidi ya Mapambano ya Uviko-19.

Pongezi hizo zimetolewa na Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi( UVCCM) Mkoa wa Tanga Rasul Shandala ambae alikuwa kiongozi kwenye ziara ya kukagua Ujenzi wa Miradi.

  “Alimesema viongozi hao wamemsaidia Rais na Mwenyekiti wa CCM Taifa Mhe, Samia Suluhu Hassan kazi kumbwa ambayo inakwenda kuonyesha dhamira ya Maendeleo kwa Watanzania kwafedha hizi zimeweza kusaidia Wanafunzi kusoma katika mazingira mazuri kama ilivyo kuwa dhamira yake” Rasul

Awali Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Muheza Like Gugu amewaomba Wanachama na Watanzania kuendelea kuunga Mkono juhudi ambazo zinafanywa na Mhe, Rais Samia Suluhu Hassani za kuendelea kupandisha uchumi wa Taifa.

“Alisema Mhe, Rais amefikilia kwa umakini na kuamua fedha hizi ziende kujenga Shule na katika shughuli hizo za ujenzi vifaa vyote vitoke kwenye viwanda vyilivyopo Tanzania na Mafundi watumike vijana wa Tanzania kwenye maeneo hayo jambo ambalo limechangia kukuza uchumi miongoni mwa Watanzania” Gugu.

Aidha  Mkuu wa Wilaya ya Muheza Halima Bulembo ambae ndio Kamisaa wa Chama Wilaya amesema Mafanikio ambayo yameonekana leo ni kutokana na ushirikiano uliokuwepo Miongoni mwao  viongozi wa Chama na Serikali wakiwemo Madiwani pamoja na Wananchi katika kushiriki kwenye Miradi hiyo.

“Alisema kuwa Wananchi wa Wilaya ya Muheza wanamshukuru Mhe, Rais wa Tanzania kwa kitendo cha kutoa fedha kwa ajili ya ujenzi wa Vyumba vya Madarasa 67 hivyo ameongeza kwa kusema kuwa ana muhakikishia Mwenyekiti wa Chama Taifa na Rais wa Tanzania kuwa watamshukuru kwa vitendo na sio Maneno katika kusimamia Miradi mbalimbali ambayo Wananchi wa Muheza wataendelea kupatiwa” DC Bulembo.




 Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi( UVCCM) Mkoa wa Tanga Rasul Shandala (katikati) akisisitija jambo kwa viongozi wa chama na Serikali mara baada ya kukagua vyumba vya madarasa
Mganga Mkuu wa Wilaya ya Muheza Dkt, Flora Kessy akisoma taarifa ya Ujenzi wa kituo cha Afya kwafungo mbele ya Wajumbe wa Kamati ya siasa wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Tanga na viongozi wa wilaya ya Muheza.
Mkuu wa Wilaya ya Muheza Mhe, Halima Bulembo (kushoto) akiwaongoza Wajumbe wa Kamati ya siasa wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Tanga katika ukagunzi wa Bweni la Watoto wenye Mahitaji Maalumu katika shule ya Msingi Ngomeni.



Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.