• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

Vigodoro Muheza sasa basi

Posted on: September 17th, 2018


Mkuu wa Wilaya Muheza Mhe,Mhandisi Mwanasha Rajabu T umbo atoa agizo la kusitisha muziki wa sherehe za usiku za majumbani ujulikanao kama( kigodoro) baada ya  tabia za uvunjifu wa maadili kwa wanafunzi wa shule za msingi na sekondari kukithiri shuleni, aliyasema hayo jana katika kikao cha wadau wa elimu wilayani humo.

  Akizungumza na wadau wa elimu ndugu Mwanasha alisema kuwa  vigodoro visiruhusiwe kwani ndio chanzo cha  ongezeko la utoro shuleni hivyo basi kupelekea wanafunzi kutofaulu vizuri darasani  na aliendelea kumsisitiza Afisa utamaduni  Wilaya asimamie sheria ya utoaji vibali  vya muziki

Kwa upande mwingine aliitaka jamii kusimamia ipasavyo ulinzi na usalama wa mtoto  hatimaye kutokomeza ukatili ukatili unaofanyika  dhidi ya watoto.

“jukumu la kumlea mtoto  ni jukumu la kila mmoja wetu katika jamii  hivyo basi kila mmoja kwa nafasi yake asimame imara kuhakikisha ulinzi na usalama wa mtoto unatelekelezwa ipasavyo  ikiwa ni pamoja  na pamoja na kuhakikisha ukatili dhidi ya mtoto unatokomezwa” alisema  mwanasha tumbo

Akitoa ufafanuzi wa utaratibu na kanuni  za vigodoro, Afisa utamaduni  Wilaya Muheza  ndugu Msafiri Nyaluva amesema  kigodoro ni muziki wa  sherehe za usiku zifanyikazo nyumbani  ambao huanza saa 10:00 jioni mpaka saa 6:00usiku,  watoto chini ya miaka 18 hawaruhusiwi kujihusisha  na sherehe hizo kwani mara nyingi ndani ya muziki hii kuna vitendo viovu vinavyofanika ambavyo hupelekea kuvunjika kwa maadili.

 Akiunga mkono kauli ya mkuu wa wilaya Nyaluva amesema  atahakikisha muziki unazimwa  mapema kama kanuni na taratibu zinavyota kwanivigodoro husababisha kuenea kwa maambukizi ya virusi vya ukimwi kwani kuna vitendomara nyingi  wamekuwa  wakijihusisha na mapenzi  , vigodoro vimekuwa chanzo cha kelele kwa jamii, taassisi za dini misikiti na kanisa na nyumba za kulala wageni.

Pia ameitaka jamii kufuata kanuni na taratibu za sheria za kibali zilizopo, wenye sherehe wahakikishe wanazima muziki  ndani ya muda uliopangwaharaka iwezekanavyo, watoto wasiende wasiruhusiwe kwenda kwenye vigodoro na alisisitiza kuwa yeyote atakaekwenda kinyume na taratibu atachukuliwa hatua za kisheria.

Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.