• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

TAKUKURU WILAYA MUHEZA YAOKOA ZAIDI YA SHILINGI MILIONI 12

Posted on: September 3rd, 2020


Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa Wilayani Muheza imerejesha fedha za wananchi kiasi cha Shilingi 12,563,000/= zilizokuwa fedha za Umoja wa wafugaji, Vicoba na Mirathi baada ya kubaini ubadhilifu uliofanywa na viongozi wa vikundi hivyo .

Hafla ya kukabidhi pesa hizo imefanyika jana tarehe 2/9/2020 katika Ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Wilaya Muheza ikiongozwa na Mkuu wa Wilaya Muheza Mheshimiwa Mwanasha Tumbo.

Akisoma taarifa ya urejeshaji wa fedha hizo Mkuu wa TAKUKURU W ilaya Muheza Bi Christine Mkango amesema urejeshaji wa fedha hizo umefanyika katika mchanganuo ufuatao Chama cha Umoja wa wafugaji wa ng’ombe wa Maziwa Shilingi 6,850,000/= kikoba cha WAKUNYUMBA kimerudishiwa Shilingi 2,363,000 na Mwananchi Moshi Peter Justine fedha za mirathi Shilingi 3,400,000.

Aliendelea kuwa Serikali haitomfumbia macho mtu yeyote atakaebainika amefanya ubadhilifu kwa mtu, kikundi chama , Taasisi na mengineyo hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yake.

“Tunapenda wananchi wafahamu kwamba TAKUKURU ipo imara kuwafuatilia wale wote ambao wamekuwa wakiaminiwa kupewa mamlaka ya kusimamia mali za ushirika au wananchi mmoja mmoja na matokeo yake wamekuwa sehemu ya ubadhirifu” alisema Mkuu wa TAKUKURU.

“Vile vile wakumbuke kuwa fedha hizi ni sehemu tu ya fedha ambazo wamezifanyia ubadhirifu , hatua kali dhidi ya wote watakaokaidi agizo la kurejesha fedha walizochukua zitachukuliwa kwa mujibu wa sheria ikiwa ni pamoja na kutaifisha mali za watuhumiwa kwa kushirikiana na ofisi ya Taifa ya Mashitaka” alisisitiza Bi Christine.

Pia ametoa wito kwa wananchi popote pale walipo, waendelee kutoa taarifa za wale wote wanaojihusisha na vitendo vya rushwa ili kuhakikisha kuwa hatua za kisheria zinachukuliwa dhidi ya wale wote wasiolitakia mema Taifa la Tanzania.

Aidha katika kipindi cha mwezi juni 2020 hadi tarehe 26 august 2020 jumla ya Shilingi 12,563,000.00 zimekabidhiwa kwa TAKUKURU Muheza kati ya Shilingi 24,237,000/ ambazo zilikusudiwa kurudishwa hivyo basi watuhumiwa watarejesha kiasi cha Shilingi 11,674,000 kilichobakia kwa tarehe walizokubaliana.




MKUU WA WILAYA MUHEZA MHE, MWANASHA TUMBO (MWENYE HIJJAB NYEUSI AKIKABIDHI FEDHA ZA MIRATHI KWA KIJANA MOSHI JUSTINE (WA KATIKATI) NI KAIMU MKURUGENZI MTENDAJI WILAYA MUHEZA AMBAE NI AFISA MIFUGO WILAYANI HUMO BW. CHRISTOPHER SIKOMBE NA WA KWANZA KULIA NI KAMANDA WA TAKUKURU MKOA WA TANGA BI SHARIFA. MKUU WA TAKUKURU WILAYA MUHEZA BI CHRISTINE MKANGO (ALIYESIMAMA) AKISOMA TAARIFA YA UREJESHAJI WA FEDHA KWA WANANCHI. PICHANI NI WANACHAMA NA WANAKIKUNDI WA SACCOS NA KIKOBA WALIODHURUMIWA FEDHA ZAO.

Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.