• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

SERIKALI YAWATAKA WANANCHI KUWEKEWA ANWANI ZA MAKAZI

Posted on: January 28th, 2022


Serikali inatekeleza mpango wa Anwani za Makazi ikiwa ni utekelezaji wa Sera ya Taifa ya Posta ya Mwaka 2003, Makubaliano ya kimataifa (PanAfricanPostal Union (PAPU), Univesal Postal Union (UPU) na Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ya 2020- 2025 kifungu Na. 61(m) zinazoelekeza kuhakikisha Anwani za Makazi zinawekwa nchini ili kurahisisha upatikanaji, utoaji na ufikishaji wa huduma katika maeneo mbalimbali.

Akizungumza katika kikao cha Viongozi wa Mamlaka ya Mji wa Muheza kilichohudhuriwa na wenyeviti wa vitongoji na wataalam wa Mji huo Mratibu wa Anwani za Makazi ambaye pia ni Afisa Tehama wilaya ya Muheza Mkumbo Levi Ngoi amesema Anwani ya Makazi ni utambulisho wa Mahali mtu/kitu kilipo juu ya uso wa Nchi.

Aliendelea kufafanua kuwa Anwani ya Makazi inaundwa na vitu vitatu (3) ambavyo ni namba ya nyumba/ jengo, Jina la barabara/Mtaa na Postikodi ambavyo husaidia kutambulisha mahali husika.

Akizitaja faida za Anwani za Makazi Mkumbo amesema zina tija kiuchumi na kijamii ambazo huchangia kuimarisha ulinzi na usalama, hutengeneza ajira, husaidia kufanya biashara mtandao, husaidia kufanya tafiti lakini pia hupunguza gharama za upatikanaji wa huduma.

Awali akielezea Muda wa ukamilishaji wa zoezi la Afisa Mipango Miji wa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza THOMAS MKWAVI amesema zoezi la Anwani za Makazi linatakiwa kukamilika mnamo mwezi MEI 22, 2022 hivyo basi viongozi waharakishe zoezi la kubaini Majina ya Barabara na Mitaa.

“zoezi hili ni Muhimu sana kwa maisha ya sasa na ya baadaye hivyo basi tufanye kazi kwa moyo kwa ajili ya Vizazi vijavyo” alisema Mkwavi.

MRATIBU AKITOA MAELEKEZO AFISA MIPANGO MIJI (W) MUHEZA AKIELEKEZA AFISA MIPANGO MIJI MSAIDIZI AKIELEKEZA
Mratibu wa Anwani za Makazi akitoa MKUMBO LEVI NGOI akitoa maelekezo kwa wajumbe Afisa mipango Miji (w) Muheza THOMAS MKWAVI akielezea jambo Afisa mipango miji msaidizi HAPPINESS NAMPONJI akifafanua jambo

Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.