• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

RC MGUMBA AWATAKA MADIWANI NA WATUMISHI KUSHIRIKIANA

Posted on: September 9th, 2022


Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Omari Mgumba amewataka Waheshimiwa Madiwani na Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza kushirikiana kwa pamoja katika shughuli mbalimbali ili kuweza kuleta maendeleo Wilayani humo.

Ameyasema hayo katika kikao cha baraza la madiwani kilichofanyika siku ya jumatatu tarehe 5/9/2022 alipokwenda kujitambulisha kwa mara ya kwanza baada ya kuhamishiwa katika mkoa wa Tanga.

Amesema maendeleo ya wananchi wa Muheza yatapatikana na kuboreshwa kama waheshimiwa madiwani na kamati ya wataalam wa Halmashauri hiyo (CMT)  watafanya kazi kama timu na kuwa kitu kimoja katika mipango wa utoaji wa maamuzi ya masuala mbali mbali ya maendeleo ya Wilaya ya Muheza hususani mipango ya utekelezaji miradi ya maendeleo.

“Nyinyi ndio mliopewa mliopewa jukumu la kusimamia Serikali ya Halmashauri ya  hapa Muheza, nyinyi ndio mnaopanga mapato na matumizi kupitia kamati yenu ya fedha kila mwezi na nyinyi ndio mnaosimamia utekelezaji wa miradi ya maendeleo na kukagua miradi kila mwezi au kila baada ya miezi mitatu kama kuna miradi mibovu, matumizi mabovu baraza la madiwa linahusika kwa kuwa majukumu ya usimamizi wa miradi hiyo mmepewa kisheria na kikatiba” alisema Mgumba.

Aliendelea kuwa mkifanya kazi kama timu mtapunguza na kuondoa malalamiko, mivutano na makundi yanayoweza kupelekea kuchelewesha ukamilishaji wa miradi ya maendeleo iliyopangiwa fedha na Serikali hivyo basi kushindwa kufikia adhima ya Seikali ya kuwapatia wananchi wake maendeleo.

“Sitomvumilia mtu yeyote mwenye nia ovu ya kumchonganisha Mhe Samia Suluhu Hassan Rais wa  Jamhuri ya muungano wa Tanzania na wananchi kwa kushindwa kutekeleza wajibu na majukumu yake kwa kuwacheleweshea wananchi maendeleo” aisisitiza Mhe. Mkuu wa Mkoa.

Kwa upande wake kaimu Mkuu wa Wilaya ya Muheza ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Pangani Mhe. Shaibu Lingo amemuomba Mkuu wa Mkoa wa Tanga Omari Mgumba kupitia ofisi yake yaandaliwe mafunzo kwa waheshimiwa madiwani yatakayolenga kuwakumbusha wajibu na majukumu yao ili waweze kuzingatia taratibu, kanuni, miongozo na sheria za nchi na atakaeshindwa kuzingatia maelekezo hayo hatua za kisheria zichukuliwe dhidi yake.

Nae kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza ambaye pia ni Afisa Mifugo na Uvuvi wa Wilaya hiyo Edward Mgaya amesema kwa niaba ya wafanyakazi wa Muheza wapo tayari kushirikiana na kufanya kazi kama timu na waheshimiwa madiwani wa Halmashauri hiyo.

KAIMU MKUU  WA WILAYA YA MUHEZA AKIZUNGUMZA MWENYEKITI WA HALMASHAURI AKIZUNGUMZA WAKATI WA KIKAO SEHEMU YA MADIWANI NA WAKUU WA IDARA 

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI MBALIMBALI ZA UCHAGUZI October 06, 2025
  • MAREKEBISHO YA TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO October 23, 2025
  • TANGAZO LA MAOMBI YA MPIGA KURA September 24, 2025
  • Halmashauri, Bodi ya Korosho Muheza Kugawa miche ya Korosho Bure March 07, 2018
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • LISHE ALAMA ZA KIJANI MUHEZA

    November 12, 2025
  • UZINDUZI WA BODI MPYA YA AFYA YA WILAYA

    November 12, 2025
  • DC SEBABILI ATOA WITO K WA WANANCHI KUTOA TAARIFA ZA WANAOTISHIA KUVUNJA AMANI SIKU YA UCHAGUZI

    October 18, 2025
  • TANZANIA KUENDELEA KUA KITOVU CHA UZALISHAJI WA KANDA YA AFRIKA MASHARIKI

    October 16, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.