• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

DC SEBABILI ATOA WITO K WA WANANCHI KUTOA TAARIFA ZA WANAOTISHIA KUVUNJA AMANI SIKU YA UCHAGUZI

Posted on: October 18th, 2025


Mkuu wa Wilaya ya Muheza Mhe. Ayubu Sebabili amewataka Wananchi wa Wilaya hiyo kutoa taarifa za wanaotishia kuvunja Amani kwenye vyombo vya Usalama katika kipindi hiki cha Kuelekea siku ya kupika Kura inayotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025 kwa ajili ya kumchagua Rais, Wabunge na Madiwani.

Wito huo ameutoa mapema siku ya Jumamosi Oktoba 18, 2025 alipokuwa Mgeni rasmi katika Bonanza la Michezo (Jogging) lililofanyika kuanzia Uwanaja wa Jitegemee na kukimbia kuelekea katika maeneo mbalimbali ya Wilaya ya Muheza.

Matembezi hayo ya Amani yalihusisha Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya hiyo, Watumishi wa Halmashauri, watumishi wa taasisi mbalimbali zilizopo Wilayani hapo, Klabu ya Jogging ya Jiji, Muheza na wananchi.

Akizungumza mara baada ya Mazoezi hayo Mkuu huyo wa Wilaya ya Muheza amesema lengo la Bonanza hilo ni kuhamasisha wananchi kwenda kupiga Kura siku ya  Jumatano tarehe 29/10/2025 kwa Amani na Utulivu.

“Nitoe wito kwa wananchi wenzangu wa Wilaya ya Muheza kuhakikisha tunatoa ushirikiano kwa Vyombo vyetu vya ulinzi pindi tutakapoona watu wenye nia ovu wanaleta Uchochezi unaolenga kukataza au kuhamasisha watu kuvuruga zoezi la Uchaguzi katika kipindi hiki cha chote hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025, vyombo viko imara na viko tayari kumshughulikia yeyote anaetaka kuvuruga Amani ya Nchi” alisema Mhe. Sebabili.

Kwa Upande wake Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Muheza Ndg Serapion Bashange amewataka wananchi kutompatia mtu yeyote kazi zao za kupigia Kura ili waweze kutimiza haki na wajibu wao wa kikatiba kuchagua viongozi wanaowataka na watakaowaletea maendeleo.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti tofauti wananchi wa Wilaya hiyo, Peris Kilima, Mukadam sabuni na Sudi Mohamed wamesema wamehamasika kwenda kupiga kura kwa ajili kuchagua viongozi watakawaoongoza katika kipindi kingine cha Miaka 5 (2025-2030).


DC SEBABILI AKIHUTUBIA
DC SEBABILI AKIONGOZI MBIO
DC AKIWA KATIKA PICHA YA PAMOJA 


































Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI MBALIMBALI ZA UCHAGUZI October 06, 2025
  • MAREKEBISHO YA TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO October 23, 2025
  • TANGAZO LA MAOMBI YA MPIGA KURA September 24, 2025
  • Halmashauri, Bodi ya Korosho Muheza Kugawa miche ya Korosho Bure March 07, 2018
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • LISHE ALAMA ZA KIJANI MUHEZA

    November 12, 2025
  • UZINDUZI WA BODI MPYA YA AFYA YA WILAYA

    November 12, 2025
  • DC SEBABILI ATOA WITO K WA WANANCHI KUTOA TAARIFA ZA WANAOTISHIA KUVUNJA AMANI SIKU YA UCHAGUZI

    October 18, 2025
  • TANZANIA KUENDELEA KUA KITOVU CHA UZALISHAJI WA KANDA YA AFRIKA MASHARIKI

    October 16, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.