• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

NAIBU WAZIRI WA MIFUGO NA UVUVI AFUNGA KAMBI RASMI YA VIJANA CCM MUHEZA.

Posted on: September 26th, 2018


Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe Abdallah Ulege amefunga kambi ya Vijana CCM Mkoa waTanga  leo baada ya kumaliza muda wao wa ushiriki wa siku 14 katika Ujenzi wa Hospitali ya wilaya muheza ambao ulianza tarehe 10/09/2018 hadi 25/9/2018.

Akisoma taarifa ya kufunga kambi ya umoja wa vijana CCM Mkoa wa Tanga, Katibu wa CCM Mkoa Tanga Ndugu Zawadi Hussein Nyambo amesema lengo la kambi hiyo ni kujenga Hospitali ya wilaya ambapo wameweza kushindilia kifusi, kupanga mawe,na kumwaga zege la jamvi ,pia kusoma masomo mbalimbali ya ujasiriamali, ukakamavu na uzalendo kwa vijana, hali itakayopelekea vijana kutojihusisha na Madawa ya kulevya na UKIMWI.

Akiendelea kusoma taarifa hiyo Zawadi amesema kutokana na usikivu na uelewa wa Vijana walioshiriki hapa kambini wapatao 300, ambapo ME 232 na KE 68, tuna imani kwamba watakuwa walimu na wajasiriamali waliokamilika kwani wameanzisha Kikundi cha Vijana kiitwacho OMARI MWANGA REVOLUTION GROUP kitakachokuwa kinatoa elimu ya ujasiriamali kwa vijana wa Wilaya zote za Mkoa Tanga ili kuwajengea uwezo wa kuanzisha viwanda vidogo vidogo vya kutengeneza sabuni, ya maji, mishumaa, keki, chaki,na batiki. Pia aliitaka serikali kutatua changamoto ya ajira kwa vijana.

Kwa upande mwingine Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Wilaya Muheza Ndugu Mathias Abuya amesoma taarifa ya ujenzi kuwa utekelezaji wa ujenzi huo utagharimu kiasi cha Tshs 11,322,459,300 (bilioni kumi na moja milioni mia tatu ishirini na mbili mia nne hamsini na tisa elfu na mia tatu) ambayo inajumuisha ujenzi wa majengo na vifaa.

Akiendelea kusoma taarifa hiyo Abuya alisema Halmashauri ya Wilaya imetenga kiasi chaTshs 150,000,000/ kwa mwaka wa fedha 2018/2019, Serikali kuu imetenga kiasi cha Tshs 1,500,000,000/kwa Mwaka wa fedha 2018/2019 kwa ajili ya kuendeleza mradi pia vijana wa CCM Mkoa Tanga wameokoa kiasi cha TSHS 11,000,000.

Nae mkuu wa Wilaya Muheza Mhe Mwanasha Rajabu Tumbo amemshukuru Naibu waziri na wadau wote waliofika pale, pia alitoa kiasi cha tshs 500,000kwa vijana ili kuwatia nguvu ya kutumikia Kutumikia Taifa la Tanzania na kuwasihi kuendeleza umoja na mshikamano kwani yuko tayari kushirikiana na wilaya nyongine kwa lolote.

Akitatua changamoto ya Ajira kwa Vijana Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe Abdallah Ulege liwaagiza wataalam mbalimbali wa mifugo kuunda vikundi vya VijanaVya Ujasiriamali, visajiliwe kisha wakopeshwe ng’ombe wa Maziwa kwa ajili ya kupata Maziwa na kupeleka Kiwandaniili wajikwamue kiuchumi. Pia ameahidi kuwaletea kuku na wataalam watakao waelimisha Vijana katika ujasiriamali wa kutengeneza sabuni na zao la Mwani ambalo hulimwa kwenye Pwani ya Bahari. Alitoa agizo la siku 14 kwa Mwenyeiti wa vijana CCM Mkoa Tanga na wataalam wa Mifugo na Uvuvi kuhakikisha vijana wanapata fursa za kujikwamua kiuchumi.  Pia alitoa kiasi cha Tshs 1,000,000 kwa vijana kwa ajili ya kuwahamasisha kuendeleza ujenzi huo.






Mkuu wa wilaya muheza Mhe, Mwanasha Rajabu Tumbo mwenye nguo nyeusi akijadiliana jambo na Katibu CCM wilaya Muheza Ndugu Mohammed Moyo Naibu waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe, Abdallah Ulege mwenye shati la bluu akiwa kwenye picha ya pamoja na vijana wa CCM Mkoa Tanga.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI MBALIMBALI ZA UCHAGUZI October 06, 2025
  • MAREKEBISHO YA TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO October 23, 2025
  • TANGAZO LA MAOMBI YA MPIGA KURA September 24, 2025
  • Halmashauri, Bodi ya Korosho Muheza Kugawa miche ya Korosho Bure March 07, 2018
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • LISHE ALAMA ZA KIJANI MUHEZA

    November 12, 2025
  • UZINDUZI WA BODI MPYA YA AFYA YA WILAYA

    November 12, 2025
  • DC SEBABILI ATOA WITO K WA WANANCHI KUTOA TAARIFA ZA WANAOTISHIA KUVUNJA AMANI SIKU YA UCHAGUZI

    October 18, 2025
  • TANZANIA KUENDELEA KUA KITOVU CHA UZALISHAJI WA KANDA YA AFRIKA MASHARIKI

    October 16, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.