• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

Naibu Waziri Wa Madini Afanya Ziara Muheza

Posted on: August 13th, 2018

Naibu  Waziri wa Madini Ndugu Dotto Mashaka Biteko afanya ukaguzi wa eneo lililofunguwa leseni ya uchimbaji wa madini kwani lipo kwenye kwenye chanzo cha maji katika kitongoji cha kwasempasi kijiji cha sakale kata ya mbomole jana Tarehe 13 Agosti 2018.

Ndugu Dotto alianza kuwakaribisha wananchi watoe michango yao na waeleze hali halisi ya uchimbaji wa madini Sakale.

Mkazi mmoja wa kitongoji cha Ngoka Bw. Amari Abdallah Tindi alianza kutoa shukrani kwa Mbunge Adadi Rajabu kwa kumleta Naibu Waziri wa madini na kusema kwamba anaomba mgodi ufunguliwe kwani eneo hilo lina madini mengi ambayo yakichimbwa yataweza kubadilisha maisha yao kiuchumi.

Pia aliahidi  kuwa iwapo mgodi utafunguliwa watafuata taratibu zote za Serikal kama za ulipaji kodi na uhifadhi wa mazingira na misitu,nae Mwenyekiti wa kijiji cha Sakale Ndugu Abdallah Mahafudhi amesema mnamo mwaka 2003 walipewa leseni wakaanza kuchimba bila kuharibu mazingira na misitu lakini baada ya watu wengi kuingia ndio uharibifu ukaanza hivyo basi wanaomba wapewe leseni kwani watafuata taraibu zote za uhifadi wa mazingira.

Nae mmiliki wa eneo la uchimbaji  Ndugu Abdi Selemani alimuomba Naibu Waziri atoe ruhusa kwa wananchi wachimbe madini kwani vijana wengi hawana kazi ambapo imepelekea kuwa waporaji wa mali za watu majumbani, aliongeza kuwa,  elimu itolewe kwa wachimbaji juu ya uhifadhi wa vyanzo vya maji, misitu, na mazingira.

Pia Mbunge wa jimbo la Muheza ndugu Adadi Rajabu alimuomba Naibu Waziri atume timu ya wataalam waje wapime ili kujua mgodi uliopo ni mkubwa kiasi gani na kama uko kwenye  chanzo cha maji na uhifadhi wa mazingira na kama haupo kwenye hifadhi yoyote basi wananchi wachimbe kwani wameweza kutunza mazingira.

Aidha ndugu Mashaka Biteko amewashukuru wananchi wa Sakale kwa uvumilivu kwani walipofungiwa kuchimba madini walivumilia hawakuleta vurugu pia amewataka waendelee kuvumilia kwani atatuma timu ya wataalam wapime eneo hilo ili ikionekana kuwa halitaleta athari za kimazingira  watapewa ruhusa ya kuchimba madini kwaajili ya kuleta maendeleo ya kiuchumi katika familia zao.

“ Naomba niwashukuru wana Sakale kwa utulivu wenu kwani baada ya kufungiwa kuchimba madini mliweza kutulia Pia kuweni na subira msilete vurugu kama mnataka kujaribu endeleeni kujaribu, usione vyaelea ujue vimeundwa” alisema naibu waziri.





Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.