• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

NAIBU WAZIRI MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA ATEMBELEA MUHEZA.

Posted on: February 14th, 2019


Naibu Waziri Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala bora Mhe, Dkt  Mary Mwanjele amewatembelea wanufaika wa Mradi wa TASAF waliopo katika kata ya Mkuzi jana Tarehe 13/2/2019 ili kujiridhisha na huduma itolewayo na waratibu wa TASAF waliopo Wilayani humo.

Akizungumza katika ofisi ya mkuu wa Wilaya muheza Mwanjele amesema lengo la Ziara yake ni kuangalia kama mradi wa TASAF una manufaa kwa walengwa kasha kuongea na watumishi wa umma ili kujua kero na changamoto zinazowakumba watumishi waliopo wilayani humo.

Akizungumza na watumishi wa Halmashauri ya Wilaya Muheza aliwaasa kuvaa mavazi ya heshima , kufuata kanuni na taratibu za kazi kwani ndio utumishi wa umma unavyotaka na atakaekwenda kinyumea na taratibu ya mavazi ya utumishi achukuliwe hatua za kinidhamu.

Akisoma taarifa ya mradi Mratibu wa TASAF Wilaya Muheza Bi. Magdalena Kimaro amesema  Mfuko wa maendeleo ya Jamii TASAF 111 Ulizinduliwa rasmi mwezi oktoba 2014 na unatekelezwa kwenye vijiji 90 kati ya vijiji 135 ambapo jumla ya kaya 6,800 zimebaki kwenye mpango.

Akiendelea kusoma taarifa hiyo Kimaro amlisema mpaka sasa malipo kwa kaya maskini yamefanyika kwa awamu 21 ambapo  kiasi cha TZS. 4,759,470,800 kilipokelewa , kiasi kilicholipwa walengwa ni TZS4,163084744, na TZS 425,742,846 kimetumika kusaidia gharama za kuratibu ,kusimamia na kufuatilia uhawilishaji wa fedha kwa ngazi zote za Halmashauri, kata TZS. 44,002,433 pamoja na ngazi ya kijiji TZS. 135,209,521.

Nao wananchi wa kijiji cha MKUZI Wametoa pongezi kwa Serikali ya waamu ya tano inayoongozwa na DKT JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI kwa kuanzisha mradi wa kunusuru kaya maskini kwani kupitia mradi huu wameweza kuwasomesha watoto na kuwanunulia  vifaa vya shule, kuwapatia huduma za afya kama kuwapeleka kliniki na kununua mavazi ili kustiri miili yao.

Waliongeza kuwa mradi huu umewasaidia kukunua bati na kujenga nyuma na kufuga kuku na mbuzi hali inayopelekea kuongeza kipato cha kaya na kuishi katika nyumba bora hatimaye wameahidi kumuombea katika sala zao mhe Rais ili aendelee kuwasaidi katika maisha yao ya kila siku.

Mhe, Mary Mwanjelwa akizungumza na wanufaika wa TASAF Mkuzi.
Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya Muheza wakisikiliza maelekezo ya serikali yaliyokuwa yakitolewa na Naibu

Naibu Waziri wa Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Ndugu Mary Mwajelwa akizungumza na wanufaika wa TASAF jana katika ofisi ya kijiji cha mkuzi.
Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya MUheza wakisikiliza maelekezo ya kiserikali aliyokuwa yanatolewa na Naibu Waziri jana katika ujkumbi wa Mikutano wa Halmashauri.













Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.