• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

MUHEZA YAZINDUA ANWANI ZA MAKAZI

Posted on: February 8th, 2022


Halmashauri ya Wilaya ya Muheza imezindua mfumo wa Anwani za Makazi uliofanyika siku ya jumamosi tarehe 5/2/2022 katika kitongoji cha Tanganyika, kata ya Tanganyika Wilayani humo ambapo Mkuu wa Wilaya Muheza Mhe. Halima Bulembo alikuwa Mgeni rasmi.

Akizungumza katika hafla hiyo, Mkuu wa Wilaya ya Muheza Halima Bulembo  amesema zoezi hilo lina manufaa makubwa katika jamii yetu kwa kuwa itarahisisha upatikanaji wa mtu kwa haraka, ziaimarisha ulinzi na usalama wa mahali husika, na kuwezesha kufanyika kwa biashara mtandao.

Vilevile amewataka wananchi kutoa ushirikiana kwa wataalam watakaofika na kuweka namba kwenye nyumba na maeneo yao ili kuweza kufanikisha zoezi hili;

Kwa upande wake kaimu Mkurugenzi Mtendaji  wa Halmashauri ya Wilaya Muheza ambaye pia ni  Afisa nyuki wa Wilaya hiyo Issa Msumari amesema zoezi hilo ni muhimu sana kwa kuwa litasaidia uwekji majina ya barabara na uboreshaji wa miundombinu hiyo.

Akielezea namna Muheza ilivyojipanga katika zoezi la Anwani za Makazi  Msumari amesema  zoezi hilo litafanyika katika kata 37, vijiji 126 na vitongoji 494 vilivyopo katika Wilaya hiyo.

Awali akisoma taarifa ya zoezi la Uwekaji Anwani za Makazi Mratibu wa zoezi hilo MKUMBO LEVI NGOI amesema Anwani za Makazi ni Utambulisho wa mahali/ mtu /kitu kilipo juu ya uso wa Nchi yenye lengo la kuharakisha upataji na utoaji na upelekaji wa huduma na bidhaa hadi mahali stahiki.

Aliendelea kuwa  Wilaya ya Muheza ilianza kutekeleza zoezi hili rasmi kuanzia tarhe 24/01/2022 na linatarajiwa kukamilika mnamo tarehe 25/05/2022, ambapo mpaka sasa shughuli zilizokwisha kufanyika ni kutoa mrejesho ya semina wezeshi kwa kamati ya wataalam (CMT), kuwajengea uwezo watendaji wa kata 37 na wa vijiji 126ikiwa ni pamoja na kuainisha majina ya barabara na mitaa.

Aidha, Zoezi la Anwani za Makazi linatekelezwa nchi nzima ikiwa ni utekelezaji wa Sera ya Taifa ya Posta ya Mwaka 2003; makubaliano ya kimataifa (Pan African Postal union (PAPU) na Universal Postal Union (UPU) na Ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ya Mwaka 2020-2025 kifungu Na. 61(m).

Mkuu wa Wilya Muheza akizindua zoezi la anwani za makazi Mwenyekiti kamati ya anwani za makazi Thomas Mkwavi akielekeza jambo mara baada ya uzinduzi

`

Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.