• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

MUHEZA YASHIKA NAFASI YA 3 MAONESHO YA NANENANE KANDA YA MASHARIKI

Posted on: August 9th, 2022


Maonesho ya nanenane kanda ya Mashariki yanahusisha Mikoa Minne ya Pwani, Dares- salaam, Tanga na Wenyeji Morogoro ambayo hufanyika kuanzia Agosti 1 hadi 8 ya kila Mwaka katika Viwanja vya Julius Nyerere Mkoani Morogoro.

Kaulimbiu ya maonesho ya nanenane kwa Mwaka huu wa 2022, inasema “Agenda 10/30 Kilimo ni biashara; Shiriki kuhesabiwa kwa Mipango bora ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi” kaulimbiu hii in lengo kusisitiza watu kujitokeza katika Sensa ya Watu na Makazi inayotarajiwa kufanyika Agosti 23 mwaka huu ili kuisaidia Serikali kupanga Mipango ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi

Katika Maonesho haya mashindano hufanyika Kikanda na Kimikoa ikiwa lengo ni kuleta Motisha katika shughuli za kilimo, Mifugo na Uvuvi zilizopo kwenye Mikoa na Halmashauri kwa ujumla ili kuweza kuleta tija katika sekta hizo.

Kwenye Mashindano ya kuushindanisha Mkoa wa Tanga katika Halmashauri zake zote 11, Halmashauri ya Wilaya ya Muheza imeshika nafasi ya tatu baada ya nafasi ya kwanza kushikwa na Tanga jiji, na Halmashauri ya Lushoto ikishika nafasi ya Pili.

Akizungumza wakati wa hafla ya kusheherekea ushindi iliyofanyika Mkoani Morogoro iliyohusisha Waheshimiwa madiwani wa kamati ya fedha, Wakuu wa idara na vitengo na wataalam wa kilimo na Mifugo, Katibu Tawala Wilaya Muheza Desderia Haule  alisema ushindi huo umetokana na juhudi nyingi zilizofanywa na wataalam na ubunifu uliofanyika wa kurekodi sauti iliyokuwa ikitoa elimu juuu ya  namna bora ya upandaji wa Mazao ya viungo ambayo ilisikika  muda wote pindi watu wapitapo katika eneo la  banda la Muheza.

Pia amekiopongeza kikundi cha wajasiriamali ‘MBOMOLE HILL SPICE FARMERS GROUP’ kilichopo katika kata ya Mbomole tarafa ya Amani kwa kuleta bidhaa nzuri za Mazao ya viungo zilizosindikwa na zisizosindikwa katika banda hilo.

Aidha katika nane nane ya Mwaka huu wa 2022 Halmashauri ya Wilaya ya Muheza katika Banda lake kumezalishwa Mbogambaga za Mchicha, Spinachi, Mnavu ,na Bamia, Matunda aina ya machungwa, bidhaa zilizosindikwa za mazao ya viungo na visivyosindikwa, Mifugo ya kuku vilikuwepo katika banda hilo.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza Mhe, Jerome Mhina amesema atahakikisha Halmashauri inatenga bajeti ya kutosha katika maonesho ya nanenane ya Mwaka ujao wa 2023 ili waweze kushika nafasi ya juu Zaidi lakini pia alsisitiza kuwa sherehe hizi hzi zisiishie kwenye kanda pekee bali zifanyike mpaka kwenye Wilaya ili kuasaidia wakulima waweze kujifunza teknolojia mpya za kilimo na Mifugo.

Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.