• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

MUHEZA YAJIPANGA MAONESHO YA NANE NANE KANDA YA MASHARIKI

Posted on: July 25th, 2022


Maonesho ya nane nane, 2022 kanda ya Mashariki yanajumuisha  Mikoa ya Dar-es-Salaam, Pwani Tanga na Morogoro ambayo hufanyika kila Mwaka kuanzia Agosti  1-8 katika Viwanja vya Mwl. Nyerere Mkoani Morogoro.

Kaulimbiu ya Mwaka huu wa 2022 inasema “Agenda 10/30 kilimo ni biashara ; Shiriki kuhesabiwa kwa Mipango bora ya Kilimo Mifugo na Uvuvi.

Halmashauri ya Wilaya ya Muheza ni miongoni mwa Halmashauri 11 zinazounda Mkoa wa Tanga ambazo hushiriki kikamilifu katika maonesho ya nane nane kanda ya mashariki.

Wilaya ya Muheza imejipanga kwa kufanya maandalizi katika banda lake kwa kkufanya usafi wan je na ndani

Pia wameanza kufyeka, na kulima eneo la bustani ya mboga mboga (vipando) ili kuhakikisha miche itakayopandwa inakuwa katika sehemu safi na yenye kupendeza kwa ajili ya ukuaji mzuri na ubora wa mazao hayo.

Vile vile   ukarabati wa banda na Mbuzi, na ngombe unafanyika kikamilifu kuhakikisha wanyama watakaoletwa wankaa mahali pazuri na salama kwa afya yao.

Kwa kuwa muda wa kuanza vipando umesogea sana Afisa Kilimo Wilaya ya Muheza Ndugu Hoyange Marika Mbwambo na Afisa Mifugo ya Wilaya hiyo Dkt Edward Mgaya wameshauri zipandwe mbogamboga za muda mfupi kama vile Mnavu, Mchicha, Spinachi, Sukuma wiki, na bamia.

Aidha Maonesho hayo yatahusisha uletwaji wa bidhaa mbalimbali za mazao yanayolimwa Muheza kama vile, Machungwa, mazao ya viungo mdalasini , iriki karafuu  mabvyo mara nyingi husindikwa na wajasiramlai wa Wilaya hiyo.




Ukarabati wa banda la kuku unaendelea katika eneo la banda la Muheza  Afisa kilimo Wilaya ya Muheza Hoyange Marika kushoto akijadili jambo na Afisa Mifugo na Uvuvi Edward Mgaya mwenye shati jeupe mara baada ya kukagua eneo la vipando vya Muheza katika Viwanja vya Mwl. Nyerere Mkoani MOROGORO tarehe 29/6/2022  Aifisa Mifugo Wilaya ya Muheza Edward Mgaya na Hoyange Marika afisa kilimo wa Wilaya hiyo wakielekea kwenye kikao cha maandalizi ya nane nane uliofanyika tarehe 29/6/2022 katika ukumbi wa JKT nanenane mara baada ya kukagua banda la maonesho la Wilaya yao.



Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.