• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

MSIMAMIZI WA UCHAGUZI MUHEZA AWAAPISHA WAANDIKISHAJI WA ORODHA YA WAPIGA KURA.

Posted on: October 7th, 2024

Msimamizi wa Uchaguzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza Dkt. Jumaa Mhina amewaapisha waandikishaji wa orodha ya wapiga kura mapema jana Oktoba 7 2024.

Msimamizi huyo wa Uchaguzi amewasihi waandikishaji hao wa Orodha ya wapiga kura kwenda kufanya kazi kama timu "Team work"kwa kushirikiana na wasimamizi wasaidizi ngazi ya Wilaya, Kata na Vijiji ili kuweza kutekeleza majukumu ya Uchaguzi ipasavyo.

Pia amewata kuwa waadilifu na wenye nidhamu ya hali ya juu na kuacha tabia za Ulevi katika kipindi hiki Cha Uchaguzi ili wasije wakaharibu zoezi la Uchaguzi.

Amesisitiza waandikishaji hao kuzingatia mafunzo na ikitokea mtu kuna Sehemu hajaelewa ni vyema akawasiliana na Msimamizi na wasimamizi wasaidizi ngazi ya kata na vijiji ili kazi hiyo ifanyike kwa weledi bila kuvunja kanuni, taratibu na Sheria za Uchaguzi.

"Nina imani sana na ninyi na nina uhakika mtakwenda kusimamia vyema zoezi hili la Uandikishaji, nendeni mkaoneshe weledi, na ubunifu bila kuvunja kanuni, taratibu na Sheria za Uchaguzi" alisema Dkt Mhina.

Ameendelea kusisitiza kuwa zoezi la Uandikishaji litafanyika kwa muda wa siku 10 kuanzia tarehe 11/10/2024 hadi tarehe 20/ 10/2024 na vituo vya Uandikishaji vitafunguliwa saa 2:00 asubuhi na vitafungwa saa 12:00 jioni hivyo kila Mwandikishaji afike kituoni saa 1:00 asubuhi kwa ajili ya Maandalizi ya kituo ili ikifika saa 2:00 asubuhi zoezi la uandikishaji lianze rasmi.

Akitoa taarifa ya Vituo vya Uandikishaji Msimamizi huyo wa Uchaguzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza amesema Uandikishaji utafanyika kwenye vituo 520, vijiji 126, Kata 37 na , Tarafa 4.

Aidha ametoa wito kwa wananchi wa Wilaya ya Muheza kujitokeza kwenye zoezi la Uandikishaji kuanzia tarehe 11/10/2024 hadi 20/10/2024 na kupiga kura tarehe 27/11/2024.

Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.