• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE AWAPONGEZA VIONGOZI WA WILAYA MUHEZA.

Posted on: October 11th, 2018


Kiongozi wa Mbio za Mwenge 2018, Ndugu Charles Francis Kabeho amewapongeza viongozi wote wa Halmashauri ya Wilaya Muheza kwa kusimamia vyema Miradi ya Maendeleo iliyopitiwa na mwenge leo tarehe 11/10/2018.

“ Nawapongeza viongozi wote wa Halmashauri, akiwemo Mkuu wa Wilaya, mkurugenzi, kamati ya ulinzi na usalama,Wakuu wa idara na vitengo pamoja na watumshi wote kwa kusimamia vizuri Miradi iliyopitiwa na Mwenge kwani Miradi yote 5 ni mizuri, imekidhi vigezo na inaridhisha kwani Wilaya zote tulizopita hakuna wilaya iliyofanya vizuri kama wilaya yenu, nasema hongereni sana “alisema Charles.

Akiendelea kutoa pongezi, Kabelo alisema  Halmashauri imeweza kutumia  Pesa ya Serikali Vizuri  iliyopewa baada ya kusomewa taarifa ya Mradi wa Kituo cha afya Mkuzi na Mganga Mkuu wa kituo kuwa Serikali kuu ilitoa kiasi cha Tshs 372,133,384, Halmashauri 3,575700, Michango ya Wananchi 1,835,000, Nguvu za wananchi 4, 130,800, jumla  381,674,883 ambapo kiasi cha Tshs 353674883 kimetumika kujenga wodi ya mama na mtoto,  nyumba ya mtumishi, theatre, maabara na mortuary na kiasi cha shilingi 28,000,000 kimebaki kwenye akaunti.

Katika ukaguzi wa vikundi vya wanawake na vijana na mazingira aewapongeza vijana wafyatua matofali na wahifadhi wa mazingira kwa kuotesha miti na kufyatua matofali ya viwango hali iliyopelekea kumshauri mkurugenzi wanunue vifaa vya ujenzi kutoka kwa vijana hao kwa ajili ya kujengea majengo Ya serikali ili kuwatia nguvu kwani ni vijana wachache wenye mawazo na ubunifu mzuri kama wao.

Kwa upande mwingine mkimbiza mwenge Dominick Rweyemamu amewapongeza viongozi wa wilaya muheza kwa kuhamasisha wananchi wa muheza kwa kuhudhuria  kwa wingi katika maeneo yote miradi iliyopitiwa na mwenge na eneo la mkesha wa Mwenge uwanja wa jitegemee pia kwa kuwapitisha kwenye miradi mitano mizuri yenye thamani ya shilingi 1,089,058,748.

viongozi mbalimbali wakikimbiza mwenge wa uhuru kuelekea  katika kiwanja cha mpira mkuzi viongozi wa muheza wakiwa katika uwanja wa kupokelea mwenge mkuzi






Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.