• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

MIRADI YA MWENGE MUHEZA YAPITA BILA KUPINGWA

Posted on: May 28th, 2022


Halmashauri ya Wilaya ya Muheza imefanikiwa kupitishiwa miradi yote nane  ya Mwenge iliyokaguliwa, kuwekewa jiwe la Msingi na Mwenge wa Uhuru wa Mwaka 2022 hii ni hatua kubwa ukilinganisha na baadhi za Halmashauri za Mkoa wa Tanga ambazo baadhi ya miradi yake ilikataliwa.

Miradi hiyo yenye thamani ya Shilingi bilioni 1.7 ni pamoja na Mradi wa Ujenzi wa nyumba nne za walimu katika Shule ya Sekondari Misozwe ambao umewekewa jiwe la Msingi, Kukabidhi Samani kwa wanafunzi wenye Mahitaji maalum katika Shule ya Msingi Mbaramo ambao fedha zake zimetokana na michango ya Mwenge

Uwekaji jiwe la Msingi katika Ukumbi wa kijamii wa Muheza Comfort uliopo kata ya Mbaramo na Ufunguzi wa Nyumba za watumishi katika Hospitali ya Wilaya ya Muheza uliopo katika Kijiji cha Tanganyika kata ya Lusanga.

Miradi  mingine ni mradi wa barabara ya Mkumbi- Muheza Estate iliyopo katika Kijiji cha Tanganyika yenye urefu wa Kilomita moja iliyogharimu Shilingi Milioni 498.54 ambao kwa sasa umefikia asilimia 90 na unatarajiwa kukamilika Juni 10 Mwaka huu na ule mradi wa Maji MIZEMBWE uliopo katika Kijiji cha Pangamlima kata ya MAKOLE.

Kadhalika Mwenge umekagua Klabu ya wapinga rushwa katika Shule ya Sekondari Chief Mang’enya na Kikundi cha vijana kinachojishughulisha na kuchakata mkonge cha Mkonge Kwanza kilichopo katika kata ya KWEMKABALA.

Aidha amewataka viongozi wa Muheza kuhakikisha wanasimamia na kufanya dosari ndogo ndogo  wafanye marekebisho ili utekelezaji wa miradi uweze kufikia viwango vinavyostahili.

Pia amewasihi viongozi wanaopewa dhamana ya kusimamia miradi kujitathmini, kuacha dharau na kufuata taratibu za kazi zinavyotaka

“lakini na ninyi viongozi nawasihi msimamie kazi kwa weledi ili utekelezahji uweze kufanyika kwa viwango vinavyotakiwa” alisema Nyanzabara.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Muheza Mhe. Halima Bulembo amesema amepokea dosari na marekebisho yote na atahakikisha yanafanyiwa kazi haraka iwezekanavyo ili miradi iweze kukamilika katika muda uliopangwa.

 

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI MBALIMBALI ZA UCHAGUZI October 06, 2025
  • MAREKEBISHO YA TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO October 23, 2025
  • TANGAZO LA MAOMBI YA MPIGA KURA September 24, 2025
  • Halmashauri, Bodi ya Korosho Muheza Kugawa miche ya Korosho Bure March 07, 2018
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • LISHE ALAMA ZA KIJANI MUHEZA

    November 12, 2025
  • UZINDUZI WA BODI MPYA YA AFYA YA WILAYA

    November 12, 2025
  • DC SEBABILI ATOA WITO K WA WANANCHI KUTOA TAARIFA ZA WANAOTISHIA KUVUNJA AMANI SIKU YA UCHAGUZI

    October 18, 2025
  • TANZANIA KUENDELEA KUA KITOVU CHA UZALISHAJI WA KANDA YA AFRIKA MASHARIKI

    October 16, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.