• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

MILIONI 80 ZATOLEWA KUTATUA CHANGAMOTO ZA MIUNDOMBINU YA SHULE

Posted on: October 21st, 2021


Mkuu wa Wilaya Muheza Mhe Halima Abdallah Bulembo amesema wilaya ya Muheza imepewa kiasi cha shilingi Milioni 80 kutoka katika mfuko wa fedha za kupambana na ugonjwa wa Corona kwa ajili ya bweni la wanafunzi wenye Mahitaji maalum.

Akitoa shukrani kwa Serikali, Mkuu huyo wa Wilaya ya Muheza amesema anaishukuru Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe, Samia Suluhu Hassan kutambua kundi hili la watu wenye ulemavu na kuahidi kusimamia vyema fedha hizo ili ziweze kufanya kazi iliyokusudiwa.

Ameyasema hayo, wakati wa mapokezi ya ziara ya Mlimbwende Miss kiziwi namba 2 Afrika Hadija Kanyama yaliyofanyika katika Shule ya Msingi Mbaramo yenye watoto wenye Mahitaji Maalum.

Akimtaka mlimbwende huyo kuona umuhimu wa mabweni ya wanafunzi wenye  mahitaji maalum amemuomba Miss kiziwi huyo akashawishi namna ya kusaidia kuongeza madarasa na mabweni  ya watoto wenye mahitaji maalum.

Kwa upande wake Mkalimani wa Miss kiziwi Bi. RAFIA KAEZA amesema kupitia nafasi yake anaweza kupambana mpaka mwisho kuhakikisha watoto wenye mahitaji maalum wanapatiwa haki zao.

Katika hatua nyingine amewataka wazazi, walezi na jamii kwa ujumla kutowaficha watoto wenye ulemavu majumbani kwani kwa kufanya hivyo wanawanyima haki zao za msingi.

“Nikiona wazazi  wanawaficha watoto viziwi roho inaniuma sana kwani na sisi tuna haki sawa ya kusoma na kupambania maisha yetu, vizwi tunaweza ndio maana hata mimi nimekuwa Miss japo watu walinishangaa sana niliposhinda nafasi ya pili” alisema RAFIA kwa niaba ya Miss Kiziwi HADIJA KANYAMA.

Awali akisoma risala kwa Mlimbwende huyo Mwanafunzi wa Shule ya Sekondari Mlingano SABRINA RAMADHANI ambaye ni mlemavu amemuomba Miss huyo kuwasaidia kutatua changamoto mbalimbali za miundombinu zinazosababisha wanafunzi wenye ulemavu kupata elimu bora.

Shamra shamra za kumpokea Miss Afrika namba 2 mlimbwende wa Afrika alivyopokelewa katika maeneo ya Majengo shimoni MISS AFRIKA AKIWASILI SHULE YA MSINGI MBARAMO MISS HADIJA KANYAMA AKIKABIDHI ZAWADI PICHANI NI DC MUHEZA AKIWA NA WATU MBALIMBALI MISS AKIKAGUA MABWENI

MADEREVA BODABODA, WANAFUNZI NA WANANCHI WAKIWA KATIKA HARAKATI ZA KUMPOKEA MISS KIZIWI NAMBA 2 KATIKA ENEO LA MAJENGO SHIMONI MLIMBWENDE Wa afrika namba 2 akipokelewa katika eneo la Majengo Shimoni Wilayani Muheza.  Miss Afrika namba 2 Hadija Kanyama Akiwasili katika Shule ya wanafunzi wenye Mahitaji Maluum MBARAMO Miss Kiziwi Afrika Hadija Kanyama akikabidhi zawadi kwa watoto wenye mahitaji maalum jana jumatatu tarehe 19/10/2021 katika Shule ya Msingi Mbaramo MKUU WA WILAYA MUHEZA MHE, HALIMA ABDALLAH BULEMBO (mwenye kilemba cheupe) akiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi, waandishi wa habari na Miss Afrika namba 2 MLIMBWENDE AFRIKA HADIJA KANYAMA AKIKAGUA MABWENI YA WANAFUNZI WENYE MAHITAJI MAALUM YALIYOPO KATIKA SHULE YA MSINGI MBARAMO

Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.