• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

MILIONI 730 ZAKOPESHWA KWA VIKUNDI 74

Posted on: February 8th, 2025


Halamashauri ya Wilaya ya Muheza,Mkoani Tanga imetoa Mikopo kwa Vikundi 74 yenye Thamani ya shilingi Milioni730,itakayowanufaisha Watu 322.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo Dkt Jumaa Mhina alisema hayo mwishoni mwa wiki,alipotoa taarifa kwa Waziri wan chi,Ofisi ya Waziri Mkuu,Kazi,Ajira,Vijana na Watu wenye Ulemavu, Ridhiwani Kikwete.

Dkt Mhina alisema Mikopo hiyo imetolewa kutimiza takwa la kisheria ya kutenga asilimia 10 ya mapato ya Halmashauri.

Alieleza Halmashauri ilipokea maombi kwa Vikundi 751 vya Wanawake,Vijana na Watu wenye Ulemavu kutoka Kata 37 zilizopo Wilayani humo.

Mkurugenzi Mtendaji huyo alisema Mkopo huo utakuwa na thamani ya shilingi Milioni 730 kati ya hizo shilingi Milioni 286 ni mapato ya ndani na shilingi Milioni 444 zinatokana na marejesho.

Dkt Mhina aliahidi kuwa,wataendelea kutoa mkopo kwa Vikundi vyote vilivyokidhi vigezo.

‘Kuweni na Subira mtapata awamu ijayo kadri fedha zitakavyokusanywa,Vikundi ambavyo havijakidhi vigezo vitaendelea kujengewa uwezo viingie katika kundi la kupata mikopo hiyo’alisema.

Naye Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu,Kazi,Ajira,Vijana na Watu wenye ulemavu,Ridhiwani Kikwete aliwataka Wananchi waliopata mikopo hiyo kuitumia vizuri na kufanya marejesho wenzao wengine wapate,

Kwa upande wake Naibu Waziri wa Habari,Sanaa,Utamaduni na Michezo,Hamisi Mwinjuma ‘Mwana FA’Alisema kutolewa kwa mikopo hiyo kumetokana na Kazi nzuri zilizofanywa na Serikali.

Alisema Miaka iliyopita Halmashauri haikuwa na uwezo wa kutoa mikopo na waliwahi kutoa shilingi Milioni 20.

Mwinjuma aliwataka Wananchi waliopata mikopo hiyo kutumia kwa malengo tarajiwa na wairejeshe kwa kuijengea uwezo Halmashauri katika utoaji mikopo hiyo.

Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.