• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

MAMA SAMIA AWEKA JIWE LA MSINGI MIRADI YA MAENDELEO MUHEZA

Posted on: March 16th, 2021


Makamu wa rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe, Samia suluhu Hassan leo tarehe 16/3/2021 ametembelea na kuweka jiwe la msingi katika mradi wa maji na mradi wa hospitali ya Wilaya ya Muheza baada ya kuridhishwa na hatua za utekelezaji ilipofikia miradi hiyo.

Akizungumza katika Mradi wa Ujenzi wa Hospitali ya Wilaya Muheza uliopo katika kijiji cha Tanganyika kata ya Lusanga Wilayani humo  Mhe, Samia amesema  anapongeza jitihada za Wilaya na Halmashauri ya Muheza kwa kujitoa kikamilifu kusimamia mradi huo kwani mpaka sasa huduma za Afya zinatolewa katika Hospitali hiyo.

Vile vile aliwataka viongozi na wananchi wa Muheza kuendelea kuchapa kazi katika mradi huo kuhakikisha majengo mengine 3 yanayotarajiwa kujengwa yanaanzishwa haraka na kukamilika kwa wakati ili kupunguza foleni katika Hospitali TEULE.

Pia ameitaka Halmashauri kuanzisha huduma ya uzalishaji kwa wakina mama wajawazito  ili kupunguza changamoto ya wakina mama wakati wa kujifungua

 Akitoa mapendekezo,  , Mhe. Makamu wa Rais ameshauri juu ya upandaji wa miti ya kivuli katika eneo la ujenzi wa Hospitali ya Wilaya Muheza ili kujikinga na jua linaloweza kuathiri afya ya wasio wagonjwa na waliowagonjwa.

Alipotembelea na kuweka jiwe la Msingi katika Mradi wa maji  PONGWE- MUHEZA uliopo katika kijiji cha Muungano kata ya Mlingano uliogharimu fedha kiasi cha shilingi bilioni sita(6) wenye tenki lenye ujazo wa lita 700,000(laki saba) na utakaonufaisha wananchi zaidi ya 40,000 wa Muheza mjini na pembezoni mwa mradi huu ambao kwa sasa uko katika hatua ya usambazaji wa mabomba Mhe. Suluhu amemtaka Mkurugenzi mtendaji wa TANGA UWASA BW. Geofrey Hilly kuhakikisha wananchi wanapata maji haraka iwezekanavyo.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa TANGA UWASA GEOFREY  amesema ndani ya wiki hii atahakikisha wananchi wanapata maji ili kupunguza changamoto ya Maji Wilayani Muheza.

Mhe. Samia suluhu Hassan akisalimiana  na Wananchi Mama Samia akiweka jiwe la Msingi katika mradi wa  hospitali ya Wilaya. Mama Samia na viongzi mbalimbali wakikagua ujenzi wa hospitali. Mama Samia akiangalia maji  Sehemu ya Waheshimiwa madiwani na watumishi  Sehemu ya wananchi walioshiriki katika hafla ya kumpokea Mama Samia


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na wananchi katika kitongoji cha Majengo Wilayani Muheza mara baada ya kuwasili akitokea Wilayani Korogwe leo tarehe 16/3/2021. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiweka jiwe la Msingi katika mradi wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya Muheza iliyopo kijiji cha Tanganyika kata ya Lusanga leo tarehe 16/3/2021 . Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na baadhi ya mawaziri na kamati ya ulinzi na usalama ya Wilaya muheza wakitoka kukagua jengo la WAZAZI mara baada ya kuweka jiwe la msingi katika mradi wa Hospitali. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiangalia maji safi na salama mara baada ya  kuweka jiwe la msingi katika Mradi wa maji Pongwe - Muheza uliopo katika kijiji cha MUUNGANO kata ya Mlingano leo tarehe 16/3/2021. Sehemu ya watumishi na Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza walioshuhudia uwekaji wa jiwe la msingi katika mradi wa ujenzi wa Hospitali ya wilaya leo tarehe 16/3/2021. Sehemu ya Wananchi walioshiriki kumpokea Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan Katika eneo la Majengo mara baada ya kuwasili akielekea katika Mradi wa Hospitali ya Muheza leo tarehe 16/3/2021.














Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.