• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

Wanawake Muheza Wahamasishwa Kuwekeza katika Sekta ya Viwanda

Posted on: March 8th, 2018

Wanawake Muheza wahamasishwa Kuwekeza Katika sekta ya Viwanda vidogo vidogo ambavyo malighafi zake zinapatikana Zaidi katika wilaya ya Muheza.

Akizungumza katika maadhimisho ya siku ya wanawake duniani wilayani Muheza Tarehe 08/03/2018, Mkuu wa Wilaya ya Muheza Mhe. Mwanasha Tumbo amewasisitiza wanawake wa Wilaya ya Muheza kuwekeza katika sekta ya viwanda ili kujikwamua kiuchumi kwani ndio kipaombele cha Taifa kwa sasa.

“Kwa niaba ya serikali tupo tayari kumsaidia mtu yeyote anayetaka kuwekeza katika sekta ya viwanda” Alisema.

Aidha amewakumbusha wanawake kutumia fursa mbalimbali zitakazojitokeza katika ujenzi wa Bomba la mafuta kujiinua kiuchumi.

Kwa upande wake Mkurugenzi mtendaji, Bi. Luiza mlelwa amesema kwa mwaka wa fedha 2016/2017 Halmashauri ilifanikiwa kutoa Mkopo wenye thamani ya Milioni 10, Milioni  5 kwa kikundi cha wanawake Boresha Mazingira ambapo walinunua pikipiki ya magurudumu matatu kwaajili ya kuendeleza kazi zao na kuojingezea kipato, na milioni 5 kikundi cha vijana Malihai ambao walinunua mashine ya umeme ya kufyatua matofali.

Amesema kuwa Halmashauri itaendelea kutoa mikopo kwa wanawake na vijana waliojiunga katika vikundi vya wanachama watano watano wenye lengo moja la kujiinua kiuchumi.

Nae Afisa Maendeleo ya Jamii Wilaya Bi. Vije Mfaume amesisitiza kuwa Halmashauri itatoa kipaumbele katika utoaji wa mikopo kwa vikundi vya wanawake vyenye muelekeo wa kujikita katika uwekezaji wa viwanda.

Wanawake walipata fursa ya kufanya mdahalo juu ya nini kifanyike kuimarisha uchumi wa viwanda wilayani Muheza, Mbinu za kimasoko na kupata elimu mbalimbali za Afya ya Jamii, Msaada wa Kisheria, usawa wa kijinsia kutoka kwa wataalamu wa Halmashauri pamoja na Bw. Juma Yahya msaidizi wa kisheria kutoka katika Asasi isiyo ya Kiserikali(ZIKOSADI).

Katika maadhimisho hayo Wanawake pia walitoa mchango wa Mifuko 5 ya saruji na ahadi ya Mifuko 2 kwaajili ya Ujenzi wa wodi ya kina mama ambayo ujenzi wake unaendelea kufanyika katika Kijiji cha  Lusanga A Wilayani.

Maandamano ya maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani Wilayani Muheza.



Watatu kutoka Kushoto, Mkuu wa Wilaya Muheza akikagua vikundi vya wanawake vya ujasiliamali katika maadhimisho hayo.













Kushoto ni Mkuu wa Wilaya Ya Muheza Mhe. mwanasha Tumbo
Akikabidhiwa Mifuko ya saruji na Afisa Maendeleo ya Jamii Wilaya.







Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.