• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

Maadhimisho ya miaka 57 ya Uhuru wa Tanzania Bara ya adhimishwa Wilayani Muheza kwa kutunza vyanzo ya Maji.

Posted on: December 12th, 2018

Siku moja baada Maadhimisho ya miaka 57 ya Uhuru wa Tanzania Bara Mkuu wa wilaya ya Muheza Mhandisi Mwanaasha Rajab Tumbo ameongoza na kuhamasisha wananchi wilayani Muheza kwa kupanda miti aina ya Mikuvukuvu zaidi ya miti mianne imepandwa kwenye vyanzo mbalimbali vya Maji .

Aidha Mkuu wa wilaya alitoa kiasi cha mifuko hamsini ya saruji kusaidia ujenzi wa Zahanati  ya Mgambo iliopo katika kata ya Misalai Tarafa ya Amani.

Shughuli nyingine zilizo fanyika siku hiyo ni Mkuu wa Wiliya kuhitimisha Mafunzo ya Jeshi la Akiba ambapo Wanajeshi wa jeshi hilo wapatao sabini nanne walikula kiapo cha utii mbele ya mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya Wilaya,akiwatia moyo Wanajeshi hao Mkuu wa Wilaya ameyataka Makapuni ya Ulinzi waajiri watu wenye sifa.

  Akihutubia wananchi wa kata ya Misalai Mkuu wa Wilaya alitoa onyo “ole wake atakae mzuia mtoto kwenda shule” aliendelea kusisitiza watoto wa pelekwe shule kwa wakati , pamoja na mambo mengine aliwahabarisha wananchi wa Muheza kuwa zabuni ya utengenezaji wa barabara ya Muheza  Amani imefunguliwa kwa ajili ya kumpata mkadarasi atakae tengeneza barabara hiyo “Serikali ya awamu ya tano chini ya utawala wa Rais Dkt. John Pombe Magufuli  imetenga fedha kwa ajili ya kuboresha miundombinu ambapo Muheza leo hii (10/12/2018) zabuni ya barabara ya Muheza Amani imefunguliwa”

Hata hivyo Mkuu wa wilaya amewaomba wananchi kushirikiana na vyombo hivi vya ulinzi na usalama kwa kuwafichua watu wasio itakia mema nchi yetu, akitoa mfano ameeleza kuwa wapo watu wanalima bangi watu hao hawaitakii mema nchi yetu  tushirikiane kuwafichua. .Hata hivyo Mkuu wa wilaya amewaomba wananchi kushirikiana na vyombo hivi vya ulinzi na usalama kwa kuwafichua watu wasio itakia mema nchi yetu, akitoa mfano ameeleza kuwa wapo watu wanalima bangi watu hao hawaitakii mema nchi yetu  tushirikiane kuwafichua.

Mkuu wa wilaya ya Muheza Mhandisi Mwanasha Rajab Tumbo akikagua  Paredi ya Jeshi la akiba Mkuu wa wilaya ya Muheza Mhandisi Mwanasha Rajab Tumbo akikabidhi mifuko hamsini ya sajuri kwaajili ya kuendeleza ujenzi wa zahanati ya Mgambo iliyopo kata ya Misalai tarafa ya Amani
Mkuu wa wilaya ya Muheza Mhandisi Mwanasha Rajab Tumbo akihutubia Wananchi wa kata ya Misalai
Vijana walio hitimu mafunzo ya Jeshi la akiba wakila kiapo cha utii mbele ya Mwenyekiti wa kamati ya Ulinzi na usalama  wa Wilaya Mhandisi Mwanasha Rajab Tumbo Mkuu wa wilaya ya Muheza  .

Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.