• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

MAADHIMISHO YA JUMA LA ELIMU YA WATU WA ZIMA WILAYA YA MUHEZA

Posted on: September 13th, 2025

Mapema leo tarehe 13/09/2025 Mwakilishi wa Mkuu wa Wilaya na Afisa Tarafa wa Tarafa ya Muheza Ndugu Ali Kijazi ameshiriki katika Maadhimisho ya Juma La Elimu ya Watu Wazima yaliyofanyika katika Viwanja vya Shule ya Msingi Kwemkabala, Kata ya Kwemkabala Wilayani Muheza.

Akizungumza wakati wa maadhimisho hayo Mwakilishi wa Mkuu wa Wilaya Ndugu Ali Kijazi amewatia chachu watu wazima kujitokeza kwenye vituo vya ujifunzaji vilivyopo Wilayani Muheza ili waweze kujifunza stadi mbalimbali za elimu.

“Ni wakati sasa watu wazima kujitokeza kwenye vituo vyetu kwenda kujifunza kusoma, kuandika na kuhesabu ili waweze kujiepusha madhara mbalimbali hasa ya dhuluma ya mali zao kutokana na kutokujua kusoma na kuandika” alisema Ndg. Kijazi.

Zaidi aliongeza kua, “Elimu ya Watu Wazima sio tuu Elimu ya kawaida bali kuna ujifunzaji wa ujuzi mbalimbali kama kilimo, mapishi, ufugaji kwa njia zakisasa ili kua na tija katika shughuli zetu zakujipatia kipato cha kila siku na kua na uhakika wa shughuli hizo”.

Aidha katika taarifa ya Juma la Elimu ya Watu Wazima iliyowasilishwa na idara ya Elimu Msingi na Sekondari, Halmashauri ya Wilaya ya Muheza inatekeleza programu kama MEMKWA (Mpango wa Elimu ya Msingi kwa Watoto Walioikosa), MUKEJA (Mpango wa Uwiano Kati ya Elimu na Jamii), Ufundi Stadi, ODL, QT na PC (Elimu ya Sekondari kwa Usomaji Huria.

Zaidi taarifa hio pia imeeleza takwimu za idadi ya wanafunzi/wanakisomo katika programu hizo ambapo MEMKWA inajumla ya wanafunzi 30 (Me 22 na Ke 08) katika madarasa manne kwenye Shule za msingi Mindu, Venance Mabeyo, Masuguru na Kimb, MUKEJA inajumla ya wanafunzi/wanakisomo 4646 (Me1281 na Ke 3365), huku kukiwa na Vituo viwili vya Ufundi Stadi Magila na Mkuzi na Usomaji Huria kukiwa na wanafunzi 54.

Maadhimisho hayo ya mwaka 2025 yameongozwa na kauli mbiu isemayo, “ Kukuza Kisomo katika Zama za Kidigitali kwa Maendeleo Endelevu ya Taifa Letu”, ikiwa ni juhudi za serikali kuchagiza matumizi bora ya mifumo yakidigitali katika kujifunza ili kuweza kuendana na ulimwengu wasasa wakidigitali.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI MBALIMBALI ZA UCHAGUZI October 06, 2025
  • MAREKEBISHO YA TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO October 23, 2025
  • TANGAZO LA MAOMBI YA MPIGA KURA September 24, 2025
  • Halmashauri, Bodi ya Korosho Muheza Kugawa miche ya Korosho Bure March 07, 2018
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • LISHE ALAMA ZA KIJANI MUHEZA

    November 12, 2025
  • UZINDUZI WA BODI MPYA YA AFYA YA WILAYA

    November 12, 2025
  • DC SEBABILI ATOA WITO K WA WANANCHI KUTOA TAARIFA ZA WANAOTISHIA KUVUNJA AMANI SIKU YA UCHAGUZI

    October 18, 2025
  • TANZANIA KUENDELEA KUA KITOVU CHA UZALISHAJI WA KANDA YA AFRIKA MASHARIKI

    October 16, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.