• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

KUELEKEA MAADHIMSHO YA MIAKA 61 YA UHURU WATUMISHI WILAYA YA MUHEZA WAFANYA USAFI

Posted on: December 6th, 2022

Kuelekea maadhimisho ya miaka 61 ya uhuru wa Tanzania Bara inayoadhimishwa terehe 09 Disemba kila mwaka Wananchi pamoja na watumishi wa Wilaya ya Muheza kwa ushirikiano mkubwa wamefanya usafi wa Mazingira siku ya jumanne tarehe 06/12/2022 katika maeneo ya stendi kuu ya mabasi,Ofisi ya Halmashauri, pamoja na Ofisi za ujenzi.

Akizungumza katika shughuli hiyo ya ufanyaji usafi kaimu mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza Ndug. Edward Mgaya amesema kuwa kama raia wa Watanzania na Wanamuheza watambua umuhimu wa Uhuru na kama watumishi wa serikali ni jukumu la kila mmoja kusafisha mazingira yanayowazunguka kila siku, Aidha ametoa wito kwa wananchi wote kuwa wamoja kuelekea siku ya maadhimisho ya miaka 61 ya uhuru itakayofanuka tarehe 09 disemba mwaka

Aidha Mkuu wa idara ya Utawala na Usimamizi wa Maliasili Watu wa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza Bi. Ruth Mwelo amesema kuwa kama watumishi na wananchi wameadhimisha  kuelekea siku ya uhuru kwa kufanya usafi kwa ushirikiano na muitikio mkubwa baina ya watumishi na wananchi wote, pia ameeleza kuwa mbali na shughuli za kufanya usafi pia kuelekea maadhimsho ya miaka 61 ya uhuru ndani ya halmashauri ya wilaya ya Muheza kutakuwa na mashindano ya insha kwa wanafunzi wa shule za msingi na sekondari, michezo ikiwemo mpira wa miguu na mpira wa mikono (netball) baina ya watumishi na waheshimiwa madiwani, kupanda miti katika tarafa ya Amani katika maeneo yote ya vyanzo vya maji, pia mnamo siku ya tarehe 9 disemba kutakuwa na mdahalo na mahojiano ya wazee maarufu wa Muheza watakaoleza historia ya nchi yetu. 





Askali jeshi la zimamoto na uokoaji wakiwa katika shughuri za kufanya usafi
Kaimu mkurugenzi mtendaji wa halmshauri ya wilaya ya muheza ndug. Edward Mgaya akiwa katika shughuri za kufanya usafi
  1. Wananchi wakisafisha mtaro wa maji machafu



Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.