• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

KAMBI YA VIJANA CCM YA SHIRIKI KUJENGA HOSPITAL MUHEZA

Posted on: September 18th, 2018

Takribani Vijana 300 Wa kambi ya CCM mkoa wa Tanga washirikiana kujenga hospital ya wilaya muheza baada ya kukosekana kwa hospitali ya wilaya kwani hospital iliyopo inamilikiwa na kanisa la Anglikana Dayosisi ya Tanga ijulikanayo kwa jina la (TEULE) ambayo haitoshelezi, hali iliyopelekea wagonjwa wengi kukosa huduma kwa wakati hivyo basi kusafirishwa wilaya nyingine.

Akisoma taarifa ya Ujenzi  Kaimu Mkurugenzi  Mtendaji  Wilaya Muheza   Ndugu  Julius Mgeni amesema tangu Wilaya  ianzishwe miaka 45 iliyopita haikuwahi kuwa na Hospitali ya Wilaya ya serikali, huduma za kitabibu kwa jamii   zinapatikana katika vituo vya afya na Zahanati vijijini, ambapo Wilaya ina vituo vya kutolea huduma za afya vya Serikali 37 ikiwemo vituo vya afya 2 na zahanati 35.

Akiendelea kusoma taarifa hiyo mgeni amesema kwa kushirikiana na taasisi binafsi vipo vituo vya kutolea huduma  za afya 12 ikiwemo vituo vya afya 2, zahanati 9 na hospital 1 Teule ambayo inamilikiwa na kanisa la Anglikana Dayosisi ya Tanga ambapo kanisa la Anglikana na serikali wameingia mkataba wa  kuwapatia wananchi huduma za kitabibu, lakini bado haina uwezo wa kutosheleza  mahitaji ya wilaya kwani uwezo wake wa kuhudumia wananchi  1,500 kwa siku hali inayopelekea wagonjwa wenye hali mbaya za kiafya kusafirishwa  umbali unaofikia kilomita 72 kwenda Bombo hospitali ya rufaa mkoa wa Tanga.

 NaeMbunge wa Wilaya Muheza mhe balozi Adadi Rajabu, aliwashukuru Vijana kwa moyo wa uzalendo waliouonyesha na kuendelea kuwasisitiza   wawe mstari wa mbele kushirikiana  ili kuleta maendeleo  nchini kwani wao ndio chachu ya kujenga mkoa na Taifa kwa Ujumla na aliahidi kuwapatia vijana hao kiasi cha Tshs milioni moja kwa ajili ya kujikimu kununua mahitaji yao kama sabuni na mafuta

Akiendelea na mazungumzo katika uzinduzi wa kambi ya  vijana jana, Mhe Rajabu amewasihi  wafanye kazi kwa bidii bila kulazimishwa na kutanguliza pesa mbele bali wawe na moyo wa kujitolea kwani kwa kufanya hivyo ndio  watakuwa wametumikia  taifa kikamilifu. Pia aliahihidi upatikanaji wa vifaa vya ujenzi katika eneo la ujenzi muda wote na amemshukuru Mhe, Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli kwa kutoa kiasi cha Tshs bilioni moja kwa ajili ya Ujenzi wa Hospitali ya Wilaya Muheza.

Kwa upande mwingine  Adadi alitoa taarifa kuwa amepata fursa ya kutengenezewa barabara ya kutoka Muheza mjini –Amani  kilomita 40, na  kilomita 1 kutoka Muheza mjini –Tingeni itawekuwa ya kiwango cha lami Kutoka Serikali kuu.

Nae afisa vijana Muheza ndugu John Kwingwa ameitaka Serikali itambue uwepo wa vijana wa CCM kwa kuwapatia mikopo waweze kununua mashine za kufyatua tofali  za ujenzi na watu waweze kununua na kutumia  bidhaa za vijana  kwa ajili ya kufikia sera ya Tanzania ya Viwanda.

Kawa upande wa Afisa maendeleo ya jamii wilaya bi vije mfaume Ndwanga ameshaur vijana waendelee kuhasishwa ili wawe wenye muelekeo wa viwanda , wajihusishe katika masuala ya  ushonaji.

Mhe mbunge Adadi Rajabu akichota zege

vijana wakiweka  maji, kokoto na saruji kwenye mashine ya kuchanganyia zege

Mhe Mbunge Adadi Rajabu na viongozi wenzake wakielekea kukagua msingi wa jengo la mama na mtoto

Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.