• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

JAFFO AFANYA ZIARA YA KIKAZI WILAYANI MUHEZA

Posted on: July 8th, 2020


Waziri wa Tamisemi Mhe,Selemani Jaffo jana tarehe 7/7/2020 amefanya Ziara Wilayani Muheza katika Mradi wa Ujenzi wa Hospitali ya Wilaya Muheza uliopo katika Kijiji cha Tanganyika kata ya Lusanga ili kujiridhisha na hatua uliofika mradi huo.

Akizungumza na viongozi wa Mkoa wa Tanga na Wilaya ya Muheza Mhe JAFFO amesema lengo la Ziara yake ni kuja kutembelea Mradi huo na kuona kuwa Maagizo aliyoyaacha katika ziara yake iliopita yametekelezwa ipasavyo.

Amesema Serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Rais DKT John Pombe Joseph Magufuli imetoa msaada wa kiasi cha Shilingi Bilioni 1.5 kwa ajili ya kujenga majengo 7 ya Hospitali na hivi karibuni milioni 300 zimeongezwa ili kukamilisha mradi huu.

Katika hatua nyingine ametoa maagizo kwa Mkuu wa Wilaya Muheza Mhe, Mwanasha Rajabu Tumbo ili Mradi ukamilike kabla ya tarehe 30/7/2020.

Akitoa maagizo hayo Jaffo amesema ahakikishe pesa ilioletwa inatumika ipasavyo na kukamilisha mradi , mafundi wasimamiwe ipasavyo vipande vyote ambavyo havijakamilika vimaliziwe.

Pia kasi ya ujenzi iongezwe kwa kuweka na kufuata mikakati ambayo wilaya itakua imejiwekea

WAZIRI JAFFO AKISAINI KITABU CHA WAGENI MHE, JAFFO AKIZUNGUMZA MARA BAADA YA KUWASILI KATIKA MRADI
Waziri wa TAMISEMI Selemani Jaffo alievaa suti nyeusi akisaini kitabu cha Wageni mara baada ya kuzungumza na viongozi wa Mkoa na Tanga, Watumishi wa Muheza na wananchi, Mwenye hijjab nyeusi ni Mkuu wa Wilaya Muheza Mhe, Mwanasha Rajabu TUMBO na wa pili kushoto mwenye koti la Jinzi ni Katibu Tawala Wilaya Muheza Desderia Haule.   Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (mwenye suti nyeusi) Mhe Selemani Jaffo akizungumza na Viongozi wa Mikoa , Wilaya Muheza na Wananchi mara baada ya kuwasili katika eneo la mradi wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya uliopo katika Kijiji cha Tanganyika kata ya Lusanga

Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.