• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

HALMASHAURI YA WILAYA MUHEZA YATOA MILIONI15 KUJENGA VYUMBA VYA MADARASA.

Posted on: October 26th, 2018


Halmashauri ya Wilaya Muheza imetoa kiasi cha Tshs milioni 15 na kuzigawa katika Shule 3 za Msingi,Masuguru, Kwemkabala, na kwalubuye kila shule imegaiwa Tshs mil 5 kwa ajili ya kusaidia Ujenzi wa Vyumba Vya Madarasa baada ya kuona idadi ya Wanafunzi kuwa kubwa ukilinganisha na idadi ya vyumba vilivyopo.

Akizungumza katika Mkutano wa Madiwani uliofanyika katika ukumbi wa Halmashauri jana tarehe 25/10/2018, Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe, Bakari Zuberi Mhando amesema idadi ya Wanafunzi Shule ya Msingi Masuguru ni 1535, vyumba vya Madarasa    Shule ya Kwalubuye ina Wanafunzi 191na idadi ya vyumba vya madarasa  wakati Shule Ya Msingi kwembabala ni mpya bado haijaanza

Aidha, Mhando amesisitiza juu ya upatikanaji wa chakula kwa wanafunzi kwamba kila Diwani kwenye kata yake ni lazima ahakikishe kuwa wanafunzi wanapatiwa chakula ili waweze kufaulu vizuri darasani kwani kwa kushinda na njaa ndo kunasababisha wanafunzi kuwa na matokeo mabaya na aliahidi baada ya baraza lile kutembelea shule zote kufanya tathmini kama wanafunzi wanapatiwa Chakula.

Naye, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Muheza Ndugu Nassib Bakari Mmbagga aliwaomba Madiwani washirikiane na watendaji wa kazi za serikali kuhamasisha katika ujenzi wa miundo mbinu ya shule kama vile ujenzi wa vyumba vya madarasa na matundu ya vyoo.

Kwa Upande mwingine Mwanasheria wa Halmashauri ya Wilaya Muheza Bi Aisha Mhando alisoma taarifa ya utekelezaji wa marekebisho ya kanuni za kudumu kuhusiana na taratibu za mawasilisho ya maswali ya Papo kwa Papo na taarifa za utekelezaji kutoka kwenye kata kusema kuwa utaratibu wa awali wa kuwasilisha maswali ya Waheshimiwa Madiwani kwa maandishi umeondolewa hivyo basi utaratibu wa sasa utakuwa kama ifuatavyo;

1)kanuni ya 23 ya kanuni za kudumu za uendeshaji wa Mikutano na shughuli za Halmashauri, 2016 zimefafanua namna ambayo wajumbe wa Halmaashauri wataweza kuuliza maswasli ya papo kwa  papo kwamba Halmashauri ya Wilaya itatenga muda wa angalau dakika 30 katika kila Mkutano wa Halmashauri wa kawaida ambapo Mwenyekiti au Mkurugenzi wa Halmashauri atajibu maswali ya papo kwa papo kutoka kwa wajumbe kabla kwa shughuli ya kawaida za mkutano wa Halmashauri.

2)Wajumbe ambao watataka kumuuliza Mkurugenzi au Mwenyekiti maswali  ya papo kwa papo watatakiwa kujiorodhesha kwanza kwa Mwenyekiti angalau masaa 24 kabla ya Mkutano wa Halmashauri.

3)Mjumbe yeyote ambaye hajajiorodhesha kwa Mwenyekiti ndani ya masaa ishirini na nne atahesabika kuwa amechelewa, na hataruhusiwa kumuuliza Mkurugenzi au Mwenyekiti swali la Papo kwa Papo.

4)Kabla ya kuanza kwa kipindi cha maswali ya Papo kwa Papo  Mwenyekiti atataja majina ya wajumbe waliojiorozesha kuuliza maswali ya papo kwa papo na idadi ya maswali yanayotarajiwa kuulizwa.

5) Mwenyekiti ataweka utaratibu ambao anaona unafaa na kuridhiwa na wajumbe wa namna bora ya kuendesha kipindi cha maswali ya papo kwa papo;

6) Mjumbe hataruhusiwa kuuliza zaidi ya swali moja la papo kwa papo;

7)maeneo ya umuhimu ambayo wajumbe watatakiwa kuuliza maswali ya papo kwa papo ni:-

  • Uendeshaji wa jumla wa Halmashauri;
  • Utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo;
  • Mipango ya kimkakati ya Malmashauri kuwaondolea wananchi umaskini;
  • Mipango ya baadaye ya Maendeleo ya Halmashauri;
  • Usimamizi na utekelezaji wa Mipango na Bajeti kwa Mwaka husika;
  • Utoaji wa huduma za jamii kama vile Elimu, Afya, Maji, Barabara na Madaraja;
  • Hifadhi ya Mazingira na utunzaji wa  vyanzo vya maji;
  • Usalama wa chakula na wa raia na mali zao;
  • Utawala bora na Utatuzi wa  Kero za Wananchi.

8) Baada ya kujibiwa kwa swali, muuliza swali atapewa fursa ya kuuliza swali moja tu la ufafanuzi na maswali yatajibiwa bila mjadala.

9) Mwenyekiti atakuwa na uwezo wa kuruhusu au kukataa swali lolote la papo kwa papo ambalo litaonekana linahitaji takwimu au utafiti zaidi au swali ambalo linalenga kumdhalilisha mwenyekiti au Mjumbe yeyote wa baraza na uamuzi wake utakuwa wa mwisho. Mwenyekiti atakuwa na uwezo  wa kutokujibu swali la papo kwa papo iwapo swali hilo litaonekana linahitaji takwimu au tafiti zaidi au litaonekana ni swali la kumdhalilisha mwenyewe au mjumbe wa baraza.

10)Mara baada ya muda wa nusu saa kumalizika, kipindi cha maswali ya papo kwa papo kitamalizia na  kuruhusu shughuli zingine za kiko kuendelea

NB. Utaratibu wa uwasilishaji wa maswali ya papo kwa papo umehuishwa ambapo sasa swali  HALIAWASILISHWA KABLA YA KUULIZWA isipokuwa mjumbe atajiorodhesha kuonesha nia yake ya kuulizwa swali.

Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.