• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

DED MUHEZA AWATAKA WAJASIRIAMALI KUCHANGAMKIA MIKOPO

Posted on: July 3rd, 2020


Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Muheza Nassib Mmbaga ametoa wito kwa Vijana, Wanawake na Wenye ulemavu kujiunga katika vikundi vya uzalishaji mali ili waweze kupewa mikopo kwa ajili ya kuwakwamua kiuchumi ikiwa ni kutimiza takwa la kisheria .

Akitoa taarifa ya mikopo iliyotolewa na Halmashauri ya Wilaya kwa kipindi cha  Mwezi  Juni, 2020 MMBAGGA amesema kiasi cha Shilingi 116,800,000 kimekopeshwa kwa vikundi 18 , vikundi 11 vya Wanawake vimepatiwa shilingi 55,000,000 na makundi 7 ya vijana yakikopeshwa TZS 61,800,000.

Akiendelea kuwahimiza   wananchi wasiogope kuchukua mikopo hiyo Nassib amesema kiasi cha mkopo kinachotolewa na Halmashauri kitarejeshwa bila riba na kinakopeshwa kwa vikundi ambapo wakopaji wanapewa miezi mitatu (3) ya matazamio kabla ya kuanza marejesho.

Pia amewataka wajasiriamali hao kutumia vyema mikopo waliopewa ili ziweze kuwaletea maendeleo badala ya kujipongeza, kwa kununua nguo mpya, kunywa pombe na kuhonga na kuongeza wake wengine.

“Chukueni pesa hizi mkachakalike ili muweze kurejesha kwa wakati muongezewe fedha nyingine, msije mkatoka hapa kina mama mkaona pesa mliopewa ni ya kununulia dera na khanga nzuri na nyinyi vijana pesa hizi sio za kuhonga wala kuongeza mke alisema Murugenzi wa halmashauri ya Wilaya MUheza

Ameyasema hayo wakati akifungua kikao cha Mafunzo ya wajasiriamali kilichofanyika  jana tarehe 2/7/2020 katika Ukumbi wa Chama cha Walimu (CWT) .

Kwa upande wake Afisa maendeleo ya jamii Wilaya Muheza Vije Mfaume Ndwanga amewataka wana vikundi kushirikiana kwa karibu ili kutekeleza malengo ya kikundi yatakayopelekea mafanikio chanya katika shughuli zao za kila siku.

Akiyataja malengo ya kukuza uchumi wa wana kikundi yatakayopelekea uboreshaji wa kaya zao Afisa Maendeleo ya jamii ambae ni Mratibu wa VICOBAWilaya Muheza Bi Rose Kimaro amewataka wana vikundi kuwa na Nidhamu ya kutunza fedha, uvumilivu, Ubunifu , kuishi na watu vizuri, Bidii na kujifunza kutokana na makosa.

Kwa upande Mwingine Afisa Biashara Johari aliwaelezea wajasiriamali kuwa mfanyabiashara mdogo yeyote anatakiwa kuwa na Kitambulisho cha Mjasiriamali ambacho kinapatikana kwa watendaji wa kata na ofisi ya biashara kwa gharama ya shilingi elfu 20 kwa Mwaka.

Akielezea taarifa ya utoaji fedha za vikundi kwenye akaunti Mhasibu wa Mapato Leospick Vutakamba amesema hatua ya kwanza ni kukiri Mapokezi, Kuwa na kitabu cha hundi, kuwe na taarifa ya mapato na matumizi , pesa zote za mauzo zipelekwe Benki , kuwe na Muhtasari wa wanakikundi.

Wajasiriamali wakiwa katika mafunzo mara baada ya kupokea fedha za mkopo kutoka Halmashauri ya Wilaya Muheza. Afisa Maendeleo ya jamii ambae ni Mratibu wa VICOBA Rose Kimaro akitoa akiwaelimisha vikundi vya ujasiriamlai namna ya kuwa mjasiriamali bora. Afisa biashara Johari Kaira Akiwaelelezea wana vikundi Umuhimu wa kuwa na Vitambulisho vya Mjasiriamali katika biashara zao

 

Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.