• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

DED MUHEZA AKABIDHI VISHIKWAMBI 33 KWA MAAFISA MIFUGO.

Posted on: September 22nd, 2025

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza Dkt. Jumaa Mhina jana amekabidhi Vishikwambi 33 kwa Maafisa Mifugo wa Kata ili kuboresha Utendaji kazi wa wataalam hao.

Vishikwambi hivyo vilivyotoka Serikali Kuu vimetolewa kwa maafisa Mifugo hao wa kata kwa lengo la kuwarahisishia kusajili wafugaji waliopo kwenye maeneo yao ili kutoa huduma stahiki ya chanjo dhidi ya Magonjwa yanayoshambuliwa Mifugo yao.

Makabidhiano hayo yamefanyika katika Ofisi ya Mkurugenzi yakihudhuriwa na Mkurugenzi, Mkuu wa idara ya Kilimo na Mifugo Ndg Edward Mgaya na maafisa Mifugo wa kata Wa Wilaya hiyo.

Akizungumza wakati wa hafla hiyo Mkurugenzi huyo wa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza ametoa rai kwa Wataalam hao kuhakikisha wanavitunza vifaa hivyo visiharibike na kuisababishia Serikali hasara huku akiwataka wakutane baada ya miezi 3 kuona hali ya utunzaji wa Vifaa hivyo.

" Serikali imetoa vitendea kazi hivi ili kuwasaidia kurahisisha kazi zenu hivyo kila mmoja wenu ahakikishe analinda na kukitunza ili vifanye kazi iliyokusudiwa" alisema Dkt Mhina

Akitoa neno la Shukani kwa Serikali Dkt Mhina amesema anashukuru Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. samia Suluhu Hassan kwa kuipatia Halmashauri yake vifaa hivyo huku akiahidi kuvisimamia ipasavyo na kuhakikisha vinakwenda kufanya kazi iliyokusudiwa na Serikali.

Nae Mkuu wa Idara ya Kilimo na Mifugo Edward Mgaya ameahidi kuwachukulia hatua wale wote watakaotumia Vishikwambi hivyo Kinyume na taratibu.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti maafisa hao wa Mifugo wameishukuru Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuwapatia Vishikwambi hivyo vitakavyorahisisha Zoezi la usajili wa Mifugo ambapo hapo walikuwa wakitumia simu zao za mkononi ambazo zilikuwa na Changamoto hivyo kupelekea zoezi la Usajili na Chanjo ya Mifugo dhidi ya Magonjwa kuzorota.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI MBALIMBALI ZA UCHAGUZI October 06, 2025
  • MAREKEBISHO YA TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO October 23, 2025
  • TANGAZO LA MAOMBI YA MPIGA KURA September 24, 2025
  • Halmashauri, Bodi ya Korosho Muheza Kugawa miche ya Korosho Bure March 07, 2018
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • LISHE ALAMA ZA KIJANI MUHEZA

    November 12, 2025
  • UZINDUZI WA BODI MPYA YA AFYA YA WILAYA

    November 12, 2025
  • DC SEBABILI ATOA WITO K WA WANANCHI KUTOA TAARIFA ZA WANAOTISHIA KUVUNJA AMANI SIKU YA UCHAGUZI

    October 18, 2025
  • TANZANIA KUENDELEA KUA KITOVU CHA UZALISHAJI WA KANDA YA AFRIKA MASHARIKI

    October 16, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.