• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

DC MUHEZA ATOA RAI KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE ULEMAVU

Posted on: December 31st, 2021

Mkuu wa Wilaya ya Muheza Mkoani Tanga Halima Bulembo ametoa rai kwa Wazazi wenye Watoto Walemavu kuacha kuwafanyia vitendo vya ukatili kwakuwaficha ndani kutokana na imani potovu.

Bulembo ametoa rai hiyo kwenye hafla ya Chakula cha Mchana na Watoto wenye Ulemavu wa Akili ilikuwa na lengo la kufanya harambee ya Ujenzi wa Bweni la Shule ya Msingi Masuguru kwajili ya Watoto hao.

 “Alimesema Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassani imekuwa ikitoa fedha kwajili ya kuhakikisha watoto hao wanapatiwa Malezi bora ikiwemo elimu hivyo hakuna sababu ya kuendelea kuwaficha na tukibaini kuwa yupo Mzazi anafanya vitendo vya ukatili dhidi ya motto huyo Serikali itachukuwa hatua kali dhidi yake” Bulembo

Awali Mwakilishi wa Mkurugezi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza Issa Msumari amewaomba Wazazi wa Kiume kushirikiana na Wazazi wake katika kutoa huduma kwa Mtoto mwenye Ulemavu na kuachana na imani potovu ambazo zimekuwa zikiwakandamiza Wanawake kwakuonekana ndio chanzo cha kupata Mtoto Mlemavu.

“Alisema Ndoa nyingi zimekuwa zikivunjika mara mama anapojifungua Mtoto mwenye ulemavu na kuonekana kuwa yeye ndio tatizo la kuzaliwa Mtoto mwenye ulemavu hivyo jamii hususa Wakina baba wanapaswa kushirikiana katika kumlea Mtoto huyo na sio kumuachia Mama katika kumuhudumia “Msumari.

Aidha Afisa Elimu Elimu Maalumu Wilaya ya Muheza Muumin Sudi ambae ndio Mratibu wa hafla hiyo amesema Lengo nikutaka kuwaonyesha jamii kuwa Watoto hao wakiwezeshwa wanaweza hivyo Wadau wanayo nafasi ya kuendelea kuwasaidia ili waweze kufikisha Malengo yao.

“Alisema Wamekuwa wakiwafundisha vitu mbalimbali ikiwemo kujitambua hivyo jamii inapaswa kuwapatia ushirikiano ili kuweza kupata furaha kwakujisikia kuwa nao wanathaminiwa hivyo kwakuchangia Ujenzi wa Mabweni hayo itasaidia kuendelea kutoa huduma” Muumin.

Nae Meneja wa Bank ya NMB Wilaya ya Muheza Anna Chimalilo licha ya Michango ambayo wamekuwa wakitoa katika kuwasaodia Watoto hao bado amehaidi kumfungulia Mtoto Akaunt na kumuwekea elf 30 kila mwezi lengo likiwa ni kumuwezesha kupata mahitaji yake ya shule.




Mkuu wa Wilaya ya Muheza Mkoani Tanga Halima Bulembo akizungumza na Wazazi pamoja na Wadau wa Maendeleo juu ya vitendo vya ukatili dhidi ya watoto wenye ulemavu
Mkuu wa Wilaya ya Muheza Halima Bulembo kwenye Picha ya pamoja na Watoto wenye ulemavu walioshiriki Mashindano ya Umiss
Mkuu wa Wilaya ya Muheza Halima Bulembo akiwa katika Picha ya pamoja na Watoto wenye ulemavu na Wadau wa Maendeleo mara baada ya kukabidhi zawadi kwa Mshidi wa Umiss.


Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.