• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

DC BULEMBO AKABIDHIWA OFISI

Posted on: June 24th, 2021


Mkuu wa Wilaya ya Muheza Mhe, Halima Abdallah Bulembo jana tarehe 23/6/2021 alikabidiwa ofisi rasmi na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya Muheza Mhe. Mwanasha Rajab Tumbo ambaye aliteuliwa na Mhe Rais Samia Suluhu Hassan tarehe 29/5/2021 kuwa Katibu Tawala Mkoa wa Pwani.

Makabidhiano hayo yamefanyika katika ukumbi wa ofisi ya Mkuu wa Wilaya Muheza na kushuhudiwa na Wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama, Kamati ya fedha Uongozi na Mipango, wadau wa maendeleo na baadhi ya wana Kikundi cha mazoezi(MUHEZA JOGGING).

Akizungumza katika hafla hiyo Mhe. Bulembo amesisitiza ushirikiano katika masuala mbalimbali yaliyopo katika Wilaya ya Muheza ili kuweza kuiletea maendeleo Wilaya ya Muheza.

“kwa kuwa mimi ni mgeni naomba ushirikiano ili kuhakikisha tunapata Muheza tunayoitaka, tukosoane, tueleweshane kwa pamoja, kila mtu afanye kazi kwa bidii katika nafasi yake ilia ache alama” alisema Mkuu wa Wilaya ya Muheza.

Akitoa neno la shukrani aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Muheza Mhe, Mwanasha Tumbo amesema anawashukuru viongozi n wananchi wote wa Muheza kwa ushirikiano waliouonyesha katika kipindi cha uongozi wake na kuwataka waendelee kumpatia Mhe Mkuu wa Wilaya mpya ushirikiano huo ili kujenga Muheza yenye mafanikio.

“Tulikuwa tunakesha kwa pamoja kuhakikisha jambo letu linafanikiwa, ninachowaomba ushirikiano mlionipa  uleule mumpatie Mhe Halima kila mtu kwa nafasi yake ampatie ushirikiano ili kuiletea Muheza Maendeleo” alisema Mhe Mwanasha.

MKUU WA WILAYA MUHEZA MHE. HALIMA BULEMBO (KUSHOTO) AKIKABIDHIWA OFISI NA ALIYEKUWA MKUU WA WILAYA HIYO MH. MWANASHA TUMBO(KULIA) MKUU WA WILAYA MUHEZA MHE. HALIMA BULEMBO (KUSHOTO) AKIWA NA MHE. MWANASHA TUMBO ALIYEKUWA DC MUHEZA WAKISAINI KITABU CHA MAKABIDHIANO JANA TAREHE 23/6/2021 KATIKA OFISI YA MKUU WA WILAYA. SEHEMU YA WAHESHIMIWA MADIWANI NA WATAALAM WA KAMATI YA FEDHA WALIOSHIRIKI KATIKA MAKABIDHIANO YA OFISI JANA TAREHE 23/6/202021 KATIKA OFISI YA MKUU WA WILAYA WAJUMBE KAMATI YA ULINZI NA USALAMA WALIOSHIRIKI MAKABIDHIANO WATUMISHI WA OFISI YA MKUU WA WILAYA WAKIKABIDHI ZAWADI KWA MKUU WA WILAYA WA ZAMANI MHE MWANASHA TUMBO WAJUMBE KAMATI YA ULINZI NA USALAMA WAKIKABIDHI ZAWADI KWA ALIYEKUWA MKUU WA WILAYA MUHEZA MWANASHA TUMBO WAHESHIMIWA MADIWANI KAMATI YA FEDHA WAKIKABIDHI ZAWADI KWA MHE, MWANASHA. WAJUMBE KAMATI YA WATAALAM WAKIKABIDHI ZAWADI KWA MHE. MWANASHA TUMBO. WADAU MBALIMBALI WAKIKABIDHI ZAWADI KWA MHE MWANASHA MHE.MWANASHA AKIWA KATIKA PICHA YA PAMOJA NA VIONGOZI NA WADAU MBALIMBALI WA WILAYA YA MUHEZA


































Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.