• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

ZAIDI YA VYETI 400 VYATOLEWA KWA WADAU WA MAENDELEO MUHEZA

Posted on: December 4th, 2020


Mkuu wa Wilaya ya Muheza Mkoani Tanga Mhandisi Mwanasha Tumbo amewashukuru wadau wote wa maendeleo waliofanikisha kupigania maendeleo ya Wilaya hiyo katika kipindi cha Miaka 5 iliyopita cha Serikali ya awamu ya 5 inayoongozwa na Rais Dkt. John Pombe Magufuli.

Mkuu huyo ametoa shukrani hizo jana tarehe 3/12/2020 kwenye sherehe fupi ya Utowaji Vyeti vya shukran na pongezi kwa Wadau wa Maendeleo Walioshiriki kumuunga Mkono Rais Dkt, John Pombe Magufuri katika kipindi cha awamu ya kwanza ya uongozi wake kilichoanzia Mwaka 2015 hadi 2020.

Hafla ya kukabidhi vyeti kwa wadau hao wa maendeleo Pamoja na kukabidhi vyeti kwa jeshi la akiba waliohitimu mafunzo yao kwa kipindi cha miezi 6 kilichoanzia July 01, 2020 imefanyika katika Uwanja wa Jitegemee uliopo katika kitongoji cha Tanganyika kata ya Tanganyika Wilayani Muheza.

Akizuungumza katika hafla hiyo Mhe, Mwanasha Amesema zaidi ya vyeti 400(mia nne) vitatolewa kwa wadau wa maendeleo wakiwemo waandishi wa habari, vyama vya siasa, Taasisi za dini, taasisi za Elimu, Asasi zinazojishughulisha na masuala mbalimbali Wilayani Muheza, Wazabuni,Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya Muheza, Wazee, watu binafsi, watoa huduma za burudani na Jeshi la akiba(Mgambo).

Katika hatua nyigine alitoa wito kwa wawekezaji kwenda kuwekeza katikaWilaya ya  Muheza katika mazao ya MKONGE na MAZAO YA VIUNGO na kuwahakikishia kuwa maeneo yapo ya kutosha.

Vile vile aliwataka wananchi na wazazi washirikiane kujenga vyumba 3 vya madarasa kila Shule ili kupunguza msongamano wa wanafunzi mashuleni ikiwa ni moja ya kipaumbele cha Wilaya hiyo.

Awali akisoma Taarifa ya Jeshi la akiba Mshauri wa Jeshi la akiba Wilaya ya Muheza Luteni Kanali Charles Madeghe amesema waliohitimu mafunzo ni vijana 66(sitini na sita) wakiwemo wanawake kumi na moja(11) na wanaume hamsini na tano (55).

Aliendelea kuwa mafunzo hayo yalihusisha masomo ya darasani ikiwemo, silaha ndogongogo, mbinu za kivita, ujana pori, ramani, usalama wa raia, Takukuru, huduma za afya, uhamiaji, zimamoto kadhalika na masomo ya nje ya darasa kama kwata, shabaha na mbinu za kivita ambavyo vilifanyika kwa ustadi mkubwa.

Aidha Idadi ya Vijana wa Jeshi la akiba walipoanza mafunzo walikuwa tisini na tatu (93) ambapo wanawake walikuwa kumi na tatu(13) na wanaume themanini(80) ikiwa vijana ishirini na saba (27) walishindwa kuhitimu kwasababu ya utoro.

MKUU WA WILAYA MUHEZA MHE, MWANASHA TUMBO AKIZUNGUMZA KABLA YA KUKABIDHI VYETI KWA WADAU. VIJANA WA JESHI LA AKIBAWALIOHITIMU MAFUNZO YA JESHI YA KIPINDI CHA MIEZI 6 MKUU WA WILAYA MUHEZA MWANASHA TUMBO (KULIA) AKIKABIDHI VYETI KWA WADAU MBALIMBALI WA MAENDELEO. SEHEMU YA WANANCHI MADIWANI WALIOSHIRIKI KATIKA HAFLA HIYO. BAADHI YA WAANDISHI WA HABARI WA MKOA WA TANGA WALIOSHIRIKI KATIKA HAFLA HIYO MKUU WA WILAYA MUHEZA MHANDISI MWANASHA TUMBO(MWENYE HIJJAB NYEUSI WALIOKAA) AKIWA KATIKA PICHA YA PAMOJA NA WADAU MBALIMBALI








Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.