• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

WAHUDUMU WA AFYA NGAZI YA JAMII KUWAFIKIA WANANCHI VIJIJINI

Posted on: February 14th, 2025

Katika mahafari ya Wahudumu wa Afya ngazi ya jamii Chuo cha Afya na Sayansi Shirikishi cha Mtakatifu Agustine (SAMIHAS) kilichopo katika Hospitali ya Muheza yaliyofanyika Tarehe 14/2/2025 Serikali imesema mpango wa Wahudumu wa Afya ngazi ya Jamii utapunguza mzigo mkubwa katika sekta ya Afya nchi kwa aslimia 52

Mganga Mkuu wa Wilaya ya Muheza Dkt Fani Mussa alisema kuwa baada ya wahudumu hao kupata mafunzo watawafikia wananchi majumbani kwa kuwa bado wapo wagonjwa wanaotembea umbali mrefu kufuata Huduma za Afya

Pia alisema kuwa mafunzo hayo yameongeza wigo wa huduma zinazotolewa na wahudumu wa Afya ngazi ya jamii mbapo kwa sasa wataanza kutekeleza hatua za kinga na tiba kwa kuwabaini wagonjwa katika hatua ya awali

Aidha alisema watakapohitimu mafunzo ya vitendo na kuanza kutekeleza majukumu yao, wazingatie nidhamu,kujituma, weledi na kutunza siri za wagonjwa na wananchi kwa kuwa kazi yoyote inahitaji nidhamu ‘’Tusitarajie ukiukwaji wa maadili mtakapoanza kazi zenu’’

Dkt Mussa aliendelea kwa kusema kuwa mradi huu jumuishi umetumia kiasi cha zaidi ya billioni 800 kwa kipindi cha miaka 5 amabapo kwa mwaka wa kwanza ilitoa shilingi 99.678 na kwa mwaka 2024/2025 ulianza kwa Halmashauri 23 Mikoa 11

Nae Makamu Mkuu wa Chuo cha Afya  na Sayansi shirikishi Wilayani Muheza Dkt Boniface Pima alisema washiriki waliochaguliwa katika chuo hicho walikuwa 71 na waliofanikiwa kujiunga na mafunzo ni 64

Kwa upande wao wahitimu walisema kupitia mpango wa Afya ya jamii watakuwa na jukumu la kuelimisha jamii kuhusu Afya ilikupunguza maradhi,vifo kuongeza maarifa ya mtu binafsi na jamii

Tangazo

  • TANGAZO LAKUITWA KWENYE USAILI January 14, 2026
  • TANGAZO LA KAZI January 09, 2026
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI MBALIMBALI ZA UCHAGUZI October 06, 2025
  • MAREKEBISHO YA TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO October 23, 2025
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • “KUKOSA SARE ZA SHULE KISIWE KISINGIZIO CHAKUTOKURIPOTI SHULENI”

    January 14, 2026
  • MUHEZA YATEKELEZA AGIZO LA WAZIRI MKUU

    November 21, 2025
  • MAFUNZO YA UANDAAJI NA UTEKELEZAJI WA MIPANGO NA BAJETI

    November 21, 2025
  • LISHE ALAMA ZA KIJANI MUHEZA

    November 12, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.