• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

WANAWAKE MUHEZA WASAIDIA TAULO ZA KIKE NA SARUJI SHULENI

Posted on: March 8th, 2021


Wanawake wa Wilaya Muheza wametoa taulo za kike zaidi ya  400 kwa wanafunzi wa kike wa Shule ya za Msingi, Sekondari na chuo cha ufundi kiwanda wakati wakiadhimisha siku ya wanawake duniani ambayo kwa kawaida hufanyika kila mwaka Machi 8,ili kuwafanya wajiamini muda wowote wawapo kwenye hedhi.

Taulo hizo zimetolewa kwa watoto wenye mahitaji maalum waliopo katika Shule ya Msingi Masuguru ,Muheza, na Mbaramo pia wanafunzi wa Sekondari Songa pamoja na chuo cha ufundi Kiwanda nao walinufaika.

Makabidhiano ya Taulo hizo yamefanyika siku ya Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani iliyofanyika  jana tarehe 7/3/202 Shule ya Sekondari Songa na leo tarehe 8/3/2021 Shule ya Msingi Masuguru na Muheza.

Akizungumza katika hafla hiyo Afisa maendeleo ya jamii Wilaya Muheza vije Mfaume Ndwanga amesema lengo la kutoa taulo hizo ni kuwasaidia wanafunzi hao ambao wengi wao wamekuwa wakishindwa kuhudhuria vizuri shuleni hali itakayopelekea kuwa na ufaulu usioridhisha shueni humo.

Katika tukio jingine wanawake wa Wilaya Muheza walitoa msaada wa mifuko ya Saruji itakaosaidia katika ujenzi wa mabweni ya watoto wenye mahitaji maalum uliopo katika Shule ya Msingi Masuguru.  

Nao wanafunzi hizo waliwashukuru sana wakina mama wa Muheza kwa Msaada huo wakisema kuwa utawafanya wajisikie huru hatimaye kupunguza idadi ya watoro shuleni.





Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe. Erasto Jerome Mhina (mwenye suti nyeusi) akisaidia kukabidhi mifuko ya sauji kwa wanafunzi wenye mahitaji maalum ili isaidie kukamilisha bweni la wattoto hao mbalo mpaka sasa liko katika hatua ya upauaji. Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya Muheza Mhe. Erasto Jerome Mhina (mwenye suti nyeusi) akishirikiana na wanawake wa Muheza kukabidhi taulo za kike  jana tarehe 8/3/2021. Sehemu ya Wananchi na Watumishi wa Muheza walioshiriki katika zoezi la ugawaji wa taulo za kike na saruji lililotolewa jana tarehe 8/3/2021 Shule ya Msingi Masuguru. Sehemu ya Wanafunzi wa Shule ya Msingi Masguru, Mbaramo na Muheza wenye mahitaji maalum walioshiriki kwenye hafla hiyo iliyofanyika tarehe 8/3/2021 katika Shule ya Msingi Masuguru.

Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.