• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

WATUMISHI WATAKIWA KUZINGATIA NIDHAMU KAZINI.

Posted on: April 3rd, 2020


Mkurugenzi Mtendaji Wilaya ambaye ni Mwenyekiti wa Baraza la wafanyakazi ameongoza baraza la wafanyakazi Siku ya Alhamisi tarehe 2/4/2020 katika ukumbi wa Halmashauri na kuwataka Wafanyakazi kuzingatia nidhamu ya kazi baada ya kuona kupata taarifa kuwa watumishi kumi walifukuzwa kazi katika kipindi cha Mwaka wa fedha 2017/2018

Akizungumza katika baraza hilo Mmbagga amesema wafanyakazi 10 kufukuzwa kazi sio jambo zuri katika Halmashauri hali hii inaonesha kwamba nidhamu ya kazi imeshuka miongoni mwa watumishi hivyo basi niwatake viongozi wa vyama vya wafanyakazi kulisimamia jambo hili kwa kuhakikisha kuwa wafanyakazi wote wanafuata kanuni na taratibu za utumishi wa Umma zilizopo kwa Mujibu wa sheria za utumishi wa Umma.

Vile vile amewataka watumishi kufuta itifaki ya uongozi kwamba wanapopatwa na matatizo wasikimbilie kwenye Uongozi wa vyama vya wafanyakazi na ngazi nyingine za juu kabla ya kuonana na uongozi husika .

“iwapo mtumishi umepatwa na tatizo unatakiwa kumuona Mkuu wako wa Idara kwanza yeye ndio atakupa maelekezo ya ngazi ipi ya uongozi ya kufuata baada ya kukusikiliza shida zako na sio kuanzia kwenye uongozi wa chama cha wafanyakazi kama ambavyo baadhi ya walimu wanafanya” alisema Mkurugenzi Mtendaji.

Kwa upande mwingine alimtaka Katibu wa baraza la Wafanyakazi ambaye ni Mtendaji wa Mamlaka ya Mji JOHARI MTANGO  kwenye baraza lijalo kuwe na Agenda ya kuzungumzia jinsi ya kumsaidia mtumishi wa umma wa Muheza aishi katika maisha ya kufurahia kazi pindi awapo kazini na atakapomaliza muda wake wa kazi( amestaafu).

“nikutake katibu wa baraza hili katika kikao kijacho kuwe na agenda itakayozunumzia namna ya kumsaidia mfanyakazi utakuta Mtumishi ana miaka 6 hadi 7 kazini hana hata kiwanja na nyumbani alikotoka wala hapa anapoishi sasa na hata akiwa kiwanja hana uwezo wa kupeleka hata “trip” moja ya mchanga wala jiwe, nataka tuwe tunazungumzia hali halisi ya maisha ya mfanyakazi na kutafuta namna ya kumsaidia, mfano tunapima viwanja tunauza wafanyakazi wetu hawana viwanja” alisema Mkuregenzi Nassib.

Kwa upande wake afisa utumishi Wilaya Muheza GODHELP RINGO alitoa jibu ya swali lililoulizwa kuhusu uchelewaji wa pesa ya Mazishi kuwa inatokana na mchakato wa mfumo wa utoaji wa fedha hiyo ambao hufuata kanuni za kiserikali za utojiaji wa fedha za matumizi, na kuwataka kuwa na subira wakati wa msiba unapotokea ikiwa ni pamoja ya kumpa muda mwajiri aandae malipo hayo kwani hakuna pesa ya mazishi ambayo haitoweza kulipwa na kuendelea kuwasisitiza kutopeleka malalmiko yao ngazi za juu.

Aidha akisoma taratibu za Mtumishi wa Umma kupandishwa /kubadilishwa cheo Afisa utumishi Lazaro Lemurua amesema Masuala ya yote upandishwaji wa vyeo unazingatia kanuni za kudumu za utumishi wa Umma toleo la Mwaka 2009, miundo ya maendeleo ya Utumishi ya mwaka 2002 kwa kada husika  pamoja na marekebisho na miongozo kutoka kwa katibu Mkuu, Ofisi ya Rais , Menejimenti ya Utumishi wa Umma na utawala bora.

Aliongeza kuwa zoezi la upandishwaji veo mchakato wake huanzia kwenye mwaka wa fedha husika ambapo  Mwezi Desemba Wakuu wa Idara huandaa bajeti ya watumishi watakaopandishwa/kubadilishwa vyeo.

Kwa Mwaka wa fedha 2017/2018 watumishi 398 walipandishwa vyeo, idara ya Elimu Msingi 199, Elimu Sekondari 137, Afya 43, utawala 9, kilimo 6 na Mifugo 4 kwa Mwaka wa fedha 2019/2020 Halmashauri imepokea Ikama ya watumishi  kwa barua ya tarehe 17 january  2020 jumla ya nafasi 2,201, Ajira Mpya nafasi 193, kupandishwa vyeo watumishi nafasi 504, nafasi ya Uteuzi 3 na kubadilisha vyeo watumishi 38.

katibu msaidizi wa baraza la wafanyakazi akizungumza wakati wa baraza
watumishi wakiwa katika baraza la wafanyakazi
katibu msaidizi wa baraza la wafanyakazi Herieth Nyangassa (kulia)  wa kati kati ni Mkurugenzi Mtendaji Nassib MMBAGGA wa mwisho ni katibu wa Baraza Johari Mtango na akizungumza wakati wa baraza la wafanyakazi lililofanyika tarehe 2/4/2020 katika ukumbi wa Halmashauri. Afisa utumishi Lazaro Lemurua akisoma taarifa ya taratibu za kupandishwa cheo au kubadilishwa cheo katika baraza hilo


Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.