• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

WATENDAJI WA KATA NA VIJIJI WAPATIWA MAFUNZO ANWANI ZA MAKAZI

Posted on: January 28th, 2022


Watendaji wa kata na Vijiji wa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza leo tarehe 28/1/2022 katika ukumbi wa mikutano wa walimu (CWT) wamepatiwa mafunzo ya Anwani za Makazi ili  kuwajengea uwezo jinsi ya kuweka namba za utambulisho wa makazi kwenye maeneo wanayofanyia kazi.

Akifungua mafunzo hayo kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza ambaye pia ni afisa utumishi wa Wilaya hiyo GODHELP RINGO amewataka watendaji wa kata na vijiji kuzingatia mafunzo hayo ili wakirudi kwenye maeneo yao wakatoe elimu stahiki kama walivyoelekezwa na wawezeshaji.

Kwa upande wake Mratibu wa Anwani za makazi MKUMBO LEVI NGOI ameelezea maana ya Anwani ya Makazi kuwa ni utambulisho wa mahali,/ mtu kitu kwenye uso wa Nchi wenye lengo la kurahisisha upatikanaji, utoaji na ufikishaji wa huduma katika maeneo mbalimbali ya nchi hii.

Nae Afisa Mtendaji kijiji cha Gare kilichopo katika kata ya Magoroto Wilayani Muheza Shabani Kinyasi amesema zoezi la Anwani za Makazi lina umuhimu sana katika jamii kwa kuwa litarahisisha upatikanaji wa mtu pindi unapomuhitaji, pia utarahisisha uunuzi wa bidhaa.

Aliendelea kuwa kwa kuwa zoezi hili ni jipya katika jamii, wananchi wengi hawana uelewa nalo watajitahidi kutoa elimu ya kutosha kwa wananchi ili waweze kutoa ushirikiano wa karibu kwa watu watakaofika katika maeneo yao.


Mratibu na afisa mipango miji wakiteta sehemu ya wawezeshaji  sehemu ya watendaji walioshiriki watendaji waliochangia mada
Mratibu wa Anwani za Makazi Mkumbo Levi Ngoi (wa kwanza kushoto) akiteta jambo na afisa mipango miji wa wilaya muheza Thomas Mkwavi wakati wa mafunzo hayo yakiyofanyika katika ukumbi wa CWT leo tarehe 28/1/2022. Sehemu ya wawezeshaji waliotoa mafunzo kwa watendaji sehemu ya watendaji wa kata na vijiji waliohudhuria mafunzo hayo Sehemu ya Watendaji wa kata na vijiji waliochangia mada wakati wa mafunzo

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI MBALIMBALI ZA UCHAGUZI October 06, 2025
  • MAREKEBISHO YA TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO October 23, 2025
  • TANGAZO LA MAOMBI YA MPIGA KURA September 24, 2025
  • Halmashauri, Bodi ya Korosho Muheza Kugawa miche ya Korosho Bure March 07, 2018
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • LISHE ALAMA ZA KIJANI MUHEZA

    November 12, 2025
  • UZINDUZI WA BODI MPYA YA AFYA YA WILAYA

    November 12, 2025
  • DC SEBABILI ATOA WITO K WA WANANCHI KUTOA TAARIFA ZA WANAOTISHIA KUVUNJA AMANI SIKU YA UCHAGUZI

    October 18, 2025
  • TANZANIA KUENDELEA KUA KITOVU CHA UZALISHAJI WA KANDA YA AFRIKA MASHARIKI

    October 16, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.