• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

WASIMAMIZI WASAIDIZI WA UCHAGUZI WATAKIWA KUZINGATIA TAHADHARI ZA UGONJWA WA CORONA.

Posted on: April 16th, 2020


Msimamizi wa Uchaguzi Mkoa wa Tanga (kutoka Tume ya Taifa ya uchaguzi) Bi Phina Benard amewataka  wasimamizi wasaidizi wa Uchaguzi ngazi ya kata ambao ni watendaji kata kuhakikisha wanachukua tahadhali ya ugonjwa wa Corona wakati wa Zoezi la Uandikishaji kwa kuhakikisha wananchi wote wanaofika katika vituo vya uandikishaji wanawe maji na sabuni.

Akizungumza katika Mafunzo ya Uboreshaji  wa Daftari la kudumu la Wapiga kura awamu ya Pili yaliyofanyika katika Ukumbi wa Tate plus tarehe 15/4/2020 ambapo watu 130 walishiriki  Msimamizi wa Uchaguzi Mkoa wa Tanga amesema lengo la kuchukua tahadhali ni kujikinga na ugonjwa hatari wa Corona .

“Tumehakikisha kila kituo kinakuwa na vifaa vya kujikinga na maambukizi ya corona, kama vile ndoo za maji kwa ajili ya kunawa mikono, vitakasa mikono( sanitizer) “ spirit kwa ajili ya kusafisha mashine, barakoa, “gloves” na vifaa vingine, nawaagiza watendaji wa kata kusimamia kila mwananchi anayefika kujiandikisha anafuata taratibu za kiafya ili kuweza kuzuia maambukizi ya ugonjwa huu” alisema PHINA.

Akitoa maelekezo ya unawaji na uvaaji wa gloves Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi Jimbo la Muheza Rehema Akida amesema kwamba unapovua gloves hutakiwi kuirudia tena na unatakiwa uihifadhi vizuri namna ambayo mtu mwingine hawezi kuishika, na hakikisha unanawa mikono au unapaka kitakasa mikono kila unapomuhudumia mwananchi , epuka kumgusa mtu yoyote unapomhudumia.

Kwa upande wake Afisa Tehama wa Halmashauri ya Wilaya Muheza EMMANUEL MARO amewataka waandikishaji na BVR OPERATORS wanapitia taarifa za mpiga kura kwanza ndipo wamsajili ili kuepuka makosa madogo madogo, pia amewataka kuzingatia muda wa kufungua kituo saa 2:00 asubuhi na kufunga saa 12:00 jioni.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI June 24, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI, VIBARUA WAKUSANYAJI USHURU June 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI, NAFASI ZA WATENDAJI WA VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 01, 2024
  • TANGAZO LA NYONGEZA KUITWA KWENYE USAILI October 03, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSHWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • WAHUDUMU WA AFYA NGAZI YA JAMII KUWAFIKIA WANANCHI VIJIJINI

    February 14, 2025
  • OMBI KUPATIWA HALMASHAURI YA PILI NDANI YA HALMASHAURI YA WILAYA YA MUHEZA

    February 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.